Skip to main content

Somalia yakabiliwa na changamoto mpya, fursa za kurahisishwa kikwazo cha silaha


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Mwaka mmoja wa kulegezwa kwa kikwazo cha silaha kwa Somalia na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutaiwezesha serikali kununua silaha nyepesi nyepesi kwa ajili ya vita vyake dhidi ya al-Shabaab, lakini baadhi ya wachambuzi wanaonya kuwa kwa kufunguliwa kwa njia ya silaha kunaweza kuruhusu silaha kuishia katika mikono isiyotakiwa.
Chini ya Azimio 2093 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) itaendelea kubakia huko hadi mwezi Februari 2014. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
Azimio nambari 2093 linairuhusu Somalia kununua silaha zenye ukubwa wa mwisho wa kipenyo cha milimita 12.7. Azimio pia linarefusha mamlaka ya jeshi la askari 17,000 la Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) hadi tarehe 28 Februari, 2014.
Katika azimio hilo, serikali ya Somalia lazima itoe siku tano za taarifa kwa kamati inayoshughulikia na usimamizi wa vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Mataifa kuhusu uingiaji wa shehena wa silaha nyepesi. Somali pia lazima itoe ripoti kila baada ya miezi sita juu ya mpango wake wa kuhakikisha utunzaji salama wa silaha hizo.
Ulinzi
Mwanachama wa Brigedi ya Ras Kamboni ambayo inaiunga mkono serikali akinyanyua bunduki nzito aina ya mashine akiwa amepanda nyuma ya gari ya mzigo huko Kismayo mwezi Oktoba 2012. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
"Hatua hii ya kulegeza kikwazo cha silaha kilichowekewa Somalia ni mafanikio makubwa kwa watu na serikali ya Somalia, na inaonyesha hatua chanya katika kipengele cha imani ya jumuiya ya kimataifa kwa serikali mpya ya Somalia," alisema Waziri wa Ulinzi wa Somalia Abdihakim Haji Mohamud Fiqi.
Fiqi alisisitiza kuwa kulegezwa kwa kikwazo kutaisaidia serikali ya Somalia kutimiza lengo lake kuu la kuwavunjavunja al-Shabaab. "Kwa vile sasa kikwazo kimelegezwa, serikali ya Somalia inayo nafasi ya kununua silaha nyepesi kwa dhamiri ya kuimarisha usalama wa vikosi vyake na kuviwezesha kufanya kazi zao za ulinzi kwa ufanisi zaidi," aliiambia Sabahi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...