Skip to main content

Somalia yakabiliwa na changamoto mpya, fursa za kurahisishwa kikwazo cha silaha


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Mwaka mmoja wa kulegezwa kwa kikwazo cha silaha kwa Somalia na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutaiwezesha serikali kununua silaha nyepesi nyepesi kwa ajili ya vita vyake dhidi ya al-Shabaab, lakini baadhi ya wachambuzi wanaonya kuwa kwa kufunguliwa kwa njia ya silaha kunaweza kuruhusu silaha kuishia katika mikono isiyotakiwa.
Chini ya Azimio 2093 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) itaendelea kubakia huko hadi mwezi Februari 2014. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
Azimio nambari 2093 linairuhusu Somalia kununua silaha zenye ukubwa wa mwisho wa kipenyo cha milimita 12.7. Azimio pia linarefusha mamlaka ya jeshi la askari 17,000 la Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) hadi tarehe 28 Februari, 2014.
Katika azimio hilo, serikali ya Somalia lazima itoe siku tano za taarifa kwa kamati inayoshughulikia na usimamizi wa vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Mataifa kuhusu uingiaji wa shehena wa silaha nyepesi. Somali pia lazima itoe ripoti kila baada ya miezi sita juu ya mpango wake wa kuhakikisha utunzaji salama wa silaha hizo.
Ulinzi
Mwanachama wa Brigedi ya Ras Kamboni ambayo inaiunga mkono serikali akinyanyua bunduki nzito aina ya mashine akiwa amepanda nyuma ya gari ya mzigo huko Kismayo mwezi Oktoba 2012. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
"Hatua hii ya kulegeza kikwazo cha silaha kilichowekewa Somalia ni mafanikio makubwa kwa watu na serikali ya Somalia, na inaonyesha hatua chanya katika kipengele cha imani ya jumuiya ya kimataifa kwa serikali mpya ya Somalia," alisema Waziri wa Ulinzi wa Somalia Abdihakim Haji Mohamud Fiqi.
Fiqi alisisitiza kuwa kulegezwa kwa kikwazo kutaisaidia serikali ya Somalia kutimiza lengo lake kuu la kuwavunjavunja al-Shabaab. "Kwa vile sasa kikwazo kimelegezwa, serikali ya Somalia inayo nafasi ya kununua silaha nyepesi kwa dhamiri ya kuimarisha usalama wa vikosi vyake na kuviwezesha kufanya kazi zao za ulinzi kwa ufanisi zaidi," aliiambia Sabahi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...