Skip to main content

Kinana safarini kuelekea China.!


Na Bashir Nkoromo
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana anaondoka nchini leo Machi 10, 2013, kwenda Jamhuri wa Watu wa China kwa ziara ya kikazi ya siku kumi, kufuatia mwaliko wa Chama Cha Kikomunisti (CPC) cha nchi hiyo.
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 
Abdulrahman Kinana
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) , Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro amesema leo kwamba katika ziara hiyo Kinana atakuwa na msafara wa watu 14, ambao baadhi yao ni Wajumbe wa Kamati kuu ya CCM, Makatibu wakuu wa Jumuia za Chama na Wenyeviti wa Chama wa mikoa.
Akizungumza leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, jijini Dar es Salaam, Dk. Asha-Rose alisema, Kinana na msafara wake wanatarajiwa kufika Guangzhou China keshokutwa, Machi 12, 2012.
Alisema, ziara hiyo ambayo ni ya kwanza nje ya nchi kwa Kinana tangu kuteuliwa kwake kuwa Katibu Mkuu wa CCM, Oktoba, mwaka jana, imeandaliwa na Chama Cha Kimomunisti cha China kwa lengo la kupata fursa ya viongozi wa ngazi ya juu wa vyama hivyo kubadilishana uzoefu katika nyanja mbalimbali za kisiasa na kiuchumi kwa manufaa ya vyama na wananchi wa nchi Dk. Asha-Rose alisema baada ya kuwasili Guangzhou, kinana na ujumbe wake wakiwa na wenyeji wao wa Chama Cha Kikomunisti cha China watatembelea maeneo mbalimbali ikiwemo jiji la Dong-guan, Shenchen, Chengdu, Machi 13-14, 2013, msafara utakwenda jiji la Chengdu, Sichuan, Nanchong na kumalizia ziara hiyo katika jiji la Beijing ambako atawasili Machi 18, 2013.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.