Skip to main content

Wateja wa Vodacom Kupiga Simu Saa 24


Wateja wa Vodacom Tanzania sasa wataweza kupiga simu kwa masaa 24 kupitia huduma yake ya Habari Ndiyo hii baada ya Vodacom kuboresha huduma za mtandao wake.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Mwamvita Makamba alisema Jijini kwamba uamuzi huo unatokana na ahadi waliyoitoa mapema mwezi Machi mwaka huu kwamba baada ya kufanya maboresho ya mtandao wake Vodacom Tanzania itawawezesha wateja wake kuongea kwa masaa 24 kwa bei ya shilingi moja kwa sekunde.

“Tuliwaahidi wateja wetu wakati wa uzinduzi wa huduma hii kwamba baada ya kukamilisha maboresho ya huduma za mitambo yetu tutawezesha wateja wetu kuongea kwa masaa 24 kupitia huduma yetu hii ya Habari Ndiyo Hii na sasa muda wenyewe ndiyo huu” Alisema .

Vodacom Tanzania ilizindua huduma hiyo mwezi Machi mwaka huu.

Alifafanua kwamba hivi sasa Vodacom Tanzania imeboresha huduma zake za mtandao wake na kwamba wateja wa Vodacom wanapata huduma bora bila kikwazo chochote.

“Tumeboresha huduma zetu, na sasa wateja wetu wanapata huduma bora za mawasiliano na tutaendelea kuboresha kadri siku zinavyokwenda,” Alisema Mkurugenzi huyo.

Kabla ya mabadiliko hayo mteja wa Vodacom alikuwa akipiga simu kwa shilingi moja kwa sekunde kwa masaa 20 kwa siku.

Alisema zaidi ya wateja milioni saba wa Vodacom watanufaika na huduma hii kwa kuongea zaidi kwa bei ile ile siku nzima.

Alisema Vodacom ina lenga kuwawezesha wateja wake kuwasiliana zaidi na bila kikwazo chochote na hivyo kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla.

Aliyashauri makundi mbalimbali katika jamii kuendelea kutumia huduma za mtandao wa Vodacom ili kuhakikisha kwamba wanajipatia maendeleo kwani mawasiliano bora ni injini ya maendeleo.

Licha ya kuiboresha huduma hiyo, Vodacom Tanzania inaendelea kutoa huduma nyingine za mawasiliano kama Nipige Tafu, Cheka Time na Vodajamaa.

Wateja wa Vodacom wanaojiunga na huduma ya Cheka Time hupata dakika za bure siku nzima kwa simu za Vodacom kwenda Vodacom wanapojisajili kwa huduma hiyo kwa kati ya shilingi 200/- hadi 2,000/-.

Hivi sasa Vodacom Tanzania ina tamba na huduma yake ya nipige tafu ya kwanza hapa nchini ambayo ina mwezesha mteja wa Vodacom kupewa salio wakati wa dharura iwapo simu yake haina salio.

“Kwa kweli huduma hii inatusaidia sana sisi wateja wa Vodacom wakati wa dharura kwani sasa tunaweza kuzungumza hata kama simu zetu hazina pesa’” Anasema Mkazi mmoja wa Jijini Dar es Salaam

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...