Skip to main content

Kampeni za Chama Cha Mapinduzi Masasi na Nayumbu Leo

Baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Newala Mkoa wa Mtwara, wakiwa katika magari kwenye msafara wa kumsindikiza Mgombea Mwenza wa nafsi ya urais, Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akitoka Wilaya hiyo kuelekea Wilaya ya Masasi leo asubuhi habari kwa hisani ya
www.othmanmichuzi.blogspot.com

Comments

Anonymous said…
Mbona hatuoni watu wakimsikiliza mgombea wenu?

Niliyoyasikia kumbe ni kweli?