Skip to main content

Sir Nature na Lil Kim Wabeba Fiesta

Lil Kim akiwa mbele ya Juma Nature uku mzuka wa Nyota huyo wa Kimarekani ukiwa anasongesha makamuzi.


Lili Kim akionesha kufurahi na nyota wa muziki wa Bongo Juma Kassim a.k.a Sir Nature
wakazi wa jiji la Dar waliofurika katika usiku wa jana kuamukia leo ndani ya viwanja vya Lidaers Club katika tamasha la Fiesta Jipanguselilloandaliwa na kusherehesha vilivyo chini ya mdhamini mkuu.

Kampuni ya bia ya Serengeti , Nature ambaye alikamua na Lil Kim jukwaamoja alionesha kujipatia heshima nyingine pale nguli wa hipo hop alipo kuwa akimkamata katika hali ya mahaba
ambapo shazzz lililo tia timu katika makamuzi hayo lilionekana kushindwa kuamini kile kilicho oneshwa na Staa wa huyo wa kike kutoka Marekani .

Kufuatia hali hiyo kuendelea kufanyika ambapo some time Lili Kim alionekana kucheza zile sitaili alizokuwa akizifanya Nature ama kweli mashabiki walifaidi mengi .

Licha ya Orodha ya Mastaa wa muziki wa Bongo Fleva kupanda kuchana uku kila Staa aliyepanda kujitaidi kufanya mauwezo yote aliyonayo mbele ya mashabiki hao lukuki ,
hali ya mfuniko wa Nature ndio Talk of the Town kwa muda huu.


Na nafikiri kipaji cha huyo nyota wa kiumeni kwa kuendelea kupendwa mno na mashabiki ,
tangua enzi za Track zake za miaka iliyopita , wengi wanajiuliza kwa kuendelea kushaini kwa Nature.

Licha ya kuwa track kama ya Chegge Kuwa Juu isemayo mkono mmoja weka juuu ambao ni mkimbizo wa hatari .

Wasanii wengi waliimba vizuri japo mastaa wengine walionekana kupoteza mvuto kutokana na kutocheza na mashabiki kwa kutumia akili .

Akili ninayosema mie ni ile kama iliyofanywa na Mwana FA , ambaye alikandamiza kwa Ufaham mkubwa wa Akili za kucheza nao kifikra mashabiki wake.

Akili kama hiyo huwa anaitumia sana Prof Jay kutokana na nyimbo zake za nyuma kuwahi kutambulika vyema maskione mwa Watanzania waliowengi .

Na maranyingine niliwahi kuwaona wasanii watatu Mwana FA , AY na Fid Q katika tamasha moja liitwalo Inter College Bash ambapo siki hiyo walionesha kuvichezea kwa aina hiyo vichwa vya wanafunzi wa Elimu ya Juu ambapo huwa ni maalum sana tamasha hilo kwa wanafunzi wasomao Elimu hiyo ya Juu .

Mzuka wa tamasha la Fiesta shughuli ya jana ilikuwa ndefuuuu na shoo ya maana aliyotoa Lili Kim si rahisi kutoweka katika ramani ya wana hip hop Tanzania.




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.