Skip to main content

Sir Nature na Lil Kim Wabeba Fiesta

Lil Kim akiwa mbele ya Juma Nature uku mzuka wa Nyota huyo wa Kimarekani ukiwa anasongesha makamuzi.


Lili Kim akionesha kufurahi na nyota wa muziki wa Bongo Juma Kassim a.k.a Sir Nature
wakazi wa jiji la Dar waliofurika katika usiku wa jana kuamukia leo ndani ya viwanja vya Lidaers Club katika tamasha la Fiesta Jipanguselilloandaliwa na kusherehesha vilivyo chini ya mdhamini mkuu.

Kampuni ya bia ya Serengeti , Nature ambaye alikamua na Lil Kim jukwaamoja alionesha kujipatia heshima nyingine pale nguli wa hipo hop alipo kuwa akimkamata katika hali ya mahaba
ambapo shazzz lililo tia timu katika makamuzi hayo lilionekana kushindwa kuamini kile kilicho oneshwa na Staa wa huyo wa kike kutoka Marekani .

Kufuatia hali hiyo kuendelea kufanyika ambapo some time Lili Kim alionekana kucheza zile sitaili alizokuwa akizifanya Nature ama kweli mashabiki walifaidi mengi .

Licha ya Orodha ya Mastaa wa muziki wa Bongo Fleva kupanda kuchana uku kila Staa aliyepanda kujitaidi kufanya mauwezo yote aliyonayo mbele ya mashabiki hao lukuki ,
hali ya mfuniko wa Nature ndio Talk of the Town kwa muda huu.


Na nafikiri kipaji cha huyo nyota wa kiumeni kwa kuendelea kupendwa mno na mashabiki ,
tangua enzi za Track zake za miaka iliyopita , wengi wanajiuliza kwa kuendelea kushaini kwa Nature.

Licha ya kuwa track kama ya Chegge Kuwa Juu isemayo mkono mmoja weka juuu ambao ni mkimbizo wa hatari .

Wasanii wengi waliimba vizuri japo mastaa wengine walionekana kupoteza mvuto kutokana na kutocheza na mashabiki kwa kutumia akili .

Akili ninayosema mie ni ile kama iliyofanywa na Mwana FA , ambaye alikandamiza kwa Ufaham mkubwa wa Akili za kucheza nao kifikra mashabiki wake.

Akili kama hiyo huwa anaitumia sana Prof Jay kutokana na nyimbo zake za nyuma kuwahi kutambulika vyema maskione mwa Watanzania waliowengi .

Na maranyingine niliwahi kuwaona wasanii watatu Mwana FA , AY na Fid Q katika tamasha moja liitwalo Inter College Bash ambapo siki hiyo walionesha kuvichezea kwa aina hiyo vichwa vya wanafunzi wa Elimu ya Juu ambapo huwa ni maalum sana tamasha hilo kwa wanafunzi wasomao Elimu hiyo ya Juu .

Mzuka wa tamasha la Fiesta shughuli ya jana ilikuwa ndefuuuu na shoo ya maana aliyotoa Lili Kim si rahisi kutoweka katika ramani ya wana hip hop Tanzania.




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...