Skip to main content

Sir Nature na Lil Kim Wabeba Fiesta

Lil Kim akiwa mbele ya Juma Nature uku mzuka wa Nyota huyo wa Kimarekani ukiwa anasongesha makamuzi.


Lili Kim akionesha kufurahi na nyota wa muziki wa Bongo Juma Kassim a.k.a Sir Nature
wakazi wa jiji la Dar waliofurika katika usiku wa jana kuamukia leo ndani ya viwanja vya Lidaers Club katika tamasha la Fiesta Jipanguselilloandaliwa na kusherehesha vilivyo chini ya mdhamini mkuu.

Kampuni ya bia ya Serengeti , Nature ambaye alikamua na Lil Kim jukwaamoja alionesha kujipatia heshima nyingine pale nguli wa hipo hop alipo kuwa akimkamata katika hali ya mahaba
ambapo shazzz lililo tia timu katika makamuzi hayo lilionekana kushindwa kuamini kile kilicho oneshwa na Staa wa huyo wa kike kutoka Marekani .

Kufuatia hali hiyo kuendelea kufanyika ambapo some time Lili Kim alionekana kucheza zile sitaili alizokuwa akizifanya Nature ama kweli mashabiki walifaidi mengi .

Licha ya Orodha ya Mastaa wa muziki wa Bongo Fleva kupanda kuchana uku kila Staa aliyepanda kujitaidi kufanya mauwezo yote aliyonayo mbele ya mashabiki hao lukuki ,
hali ya mfuniko wa Nature ndio Talk of the Town kwa muda huu.


Na nafikiri kipaji cha huyo nyota wa kiumeni kwa kuendelea kupendwa mno na mashabiki ,
tangua enzi za Track zake za miaka iliyopita , wengi wanajiuliza kwa kuendelea kushaini kwa Nature.

Licha ya kuwa track kama ya Chegge Kuwa Juu isemayo mkono mmoja weka juuu ambao ni mkimbizo wa hatari .

Wasanii wengi waliimba vizuri japo mastaa wengine walionekana kupoteza mvuto kutokana na kutocheza na mashabiki kwa kutumia akili .

Akili ninayosema mie ni ile kama iliyofanywa na Mwana FA , ambaye alikandamiza kwa Ufaham mkubwa wa Akili za kucheza nao kifikra mashabiki wake.

Akili kama hiyo huwa anaitumia sana Prof Jay kutokana na nyimbo zake za nyuma kuwahi kutambulika vyema maskione mwa Watanzania waliowengi .

Na maranyingine niliwahi kuwaona wasanii watatu Mwana FA , AY na Fid Q katika tamasha moja liitwalo Inter College Bash ambapo siki hiyo walionesha kuvichezea kwa aina hiyo vichwa vya wanafunzi wa Elimu ya Juu ambapo huwa ni maalum sana tamasha hilo kwa wanafunzi wasomao Elimu hiyo ya Juu .

Mzuka wa tamasha la Fiesta shughuli ya jana ilikuwa ndefuuuu na shoo ya maana aliyotoa Lili Kim si rahisi kutoweka katika ramani ya wana hip hop Tanzania.




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...