Skip to main content

Rais Jakaya Atambua Mchango wa wakulima


Na Stella Chipanha –Bunge - Dodoma

1: Benki ya kilimo kuanzishwa
2:Wakulima wapatiwa tumaini jipya
3:Umwagiliaji wapanuka
4:Jakaya aunda wizara mpya ;Mifugo na uvuvi
5:Aahidi ari zaidi kasi zaidi
Akiahidi ari zaidi na kasi zaidi Rais Jakaya ametoa uhakika zaidi kwa wakulima katika Maswala ya pembejeo, mbegu na kuimarisha masoko kwa mazao ya kilimo, akieleza hayo katika kilele cha nanenane mjini Dodoma Rais kikwete alisema tuna mikakati endelevu ya kuimarisha juhudi katika masoko kwa mkulima na mfugaji
Wakati wa hotuba yake Rais Jakaya Kikwete alisema wanamikakati maalum kuunda vyama vya ushirika kwa wafugaji alisema lazima tuunde vyama vyetu ambavyo vitasimamia shuguli za wafugaji ili ufugaji huo uwe wenye mafanikio na tija, alisisitiza kuwa kiwepo kitengo cha ukaguzi wa vyama vya ushirika waaminifu na si wababaishaji
Katika hotuba yake aliwataka sekta binafsi kuwa na mashamba makubwa zaidi nakuwataka wauze kwa bei nzuri inayo wezekana kwa kila mwananchi mwenye kipato cha chini (affordable price) Wakati huo huo Rais Jk alisema serikali yake inamikakati zaidi kuanzisha viwanda vya kusindika na kutengeneza bidhaa mbalimbali nchini na si kuendelea kutegemea nje.
Rais Jakaya alisema Serikali imeongeza million kumi na moja kwenye benki ya wakulima itakayosaidia kuongeza viwanda katika kukamilisha sera ya mapinduzi ya kijani, kilimo, ufugaji, uvuvi kupewa kipao mbele, kwa maarifa zaidi ili kusukuma maendeleo kwa kasi kubwa zaidi nchini
Alimaliza kwakusema bidhaa nyingi zinaonekana tu siku ya maonyesho ya nanenane nakupotea,” msije kwa ajili ya maonesho bali mtumie teknolojia inayowezekana kuifanya bidhaa hiyo hai zaidi popote nchini inapohitajika”

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...