Skip to main content

Kura za Maoni Zanziber Wengi Wasema Ndiyo


KURA za maoni zanzibar, wengi wasema NDIYO kutaka serikali ya mseto
Registered Voters - 407,669Valid Votes - 266,064Invalid Votes - 8,309Total Turn Out - 274,373Percent Turn Out - 67.00%Polling Stations Published 1,210 of 1,292NDIO / YES = 175,476HAPANA / NO = 90,588Kura za maoni katika Visiwa vya Zanzibar yanafanya kuwapo na muundo mpya wa serikali katika viswa hivyo baada ya uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na idara ya Maelezo Zanzibar zinaonyesha kwamba asilimia 66.4 ya Wananchi waliopiga kura wameridhia serikali ya mseto, yaani Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 31 mwaka huu.
Matokeo hayo sasa yanaashiria kuzikwa kwa mfumo wa “Westminster” wa anayeshinda kuunda Serikali kwa kuchukua kila kitu, sasa kazi iliyobaki ni kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitisha mabadiliko ya Katiba Agosti 9 mwaka huu ili kuwapo kikatiba mfumo mpya wa muundo wa Serikali ya Zanzibar.
Akitangaza matokeo hayo jana, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Khatib Mwinchande alisema waliochagua ndio wameshinda kwa kura 188,705 ikiwa ni sawa na asilimia 66.4 wakati waliochagua hapana wamepata kura 95,613 ikiwa sawa na asilimia 33.6. Mwenyekiti huyo alisema idadi ya kura zote ni 293,339 sawa na asilimia 71 wakati waliojiandikisha ni 407,669.
Kisiwani Pemba wananchi wengi wa huko wamechagua ndio wakati Mkoa wa ya Kusini Unguja kuna idadi kubwa ya watu waliochagua hapana.21,394 sawa na asilimia 66.3 waliochagua ndio 10,864 sawa na asilimia 33.7 katika Mkoa huo, kura zilizoharibika ni 934 ikiwa ni asilimia 2.8%. kura zote ni 33,192 ikiwa sawa na asilimia 69.1.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi(CUF) Seif Shariff Hamad alisema “Nimefurahishwa namatokeo ya kura ya maoni zilizopigwa na wananchi wa Zanzibar, ni matokeo yao yanayoonesha hisia za demokrasia”Taarifa nyingine toka mitaani zinasema kuwa majimbo yaliyoshikilia kura ya HAPANA ni Amani, Chaani, Chwaka, Dole, Kwahani, Makunduchi, Muyuni na Uzini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...