Skip to main content

Kura za Maoni Zanziber Wengi Wasema Ndiyo


KURA za maoni zanzibar, wengi wasema NDIYO kutaka serikali ya mseto
Registered Voters - 407,669Valid Votes - 266,064Invalid Votes - 8,309Total Turn Out - 274,373Percent Turn Out - 67.00%Polling Stations Published 1,210 of 1,292NDIO / YES = 175,476HAPANA / NO = 90,588Kura za maoni katika Visiwa vya Zanzibar yanafanya kuwapo na muundo mpya wa serikali katika viswa hivyo baada ya uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na idara ya Maelezo Zanzibar zinaonyesha kwamba asilimia 66.4 ya Wananchi waliopiga kura wameridhia serikali ya mseto, yaani Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 31 mwaka huu.
Matokeo hayo sasa yanaashiria kuzikwa kwa mfumo wa “Westminster” wa anayeshinda kuunda Serikali kwa kuchukua kila kitu, sasa kazi iliyobaki ni kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitisha mabadiliko ya Katiba Agosti 9 mwaka huu ili kuwapo kikatiba mfumo mpya wa muundo wa Serikali ya Zanzibar.
Akitangaza matokeo hayo jana, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Khatib Mwinchande alisema waliochagua ndio wameshinda kwa kura 188,705 ikiwa ni sawa na asilimia 66.4 wakati waliochagua hapana wamepata kura 95,613 ikiwa sawa na asilimia 33.6. Mwenyekiti huyo alisema idadi ya kura zote ni 293,339 sawa na asilimia 71 wakati waliojiandikisha ni 407,669.
Kisiwani Pemba wananchi wengi wa huko wamechagua ndio wakati Mkoa wa ya Kusini Unguja kuna idadi kubwa ya watu waliochagua hapana.21,394 sawa na asilimia 66.3 waliochagua ndio 10,864 sawa na asilimia 33.7 katika Mkoa huo, kura zilizoharibika ni 934 ikiwa ni asilimia 2.8%. kura zote ni 33,192 ikiwa sawa na asilimia 69.1.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi(CUF) Seif Shariff Hamad alisema “Nimefurahishwa namatokeo ya kura ya maoni zilizopigwa na wananchi wa Zanzibar, ni matokeo yao yanayoonesha hisia za demokrasia”Taarifa nyingine toka mitaani zinasema kuwa majimbo yaliyoshikilia kura ya HAPANA ni Amani, Chaani, Chwaka, Dole, Kwahani, Makunduchi, Muyuni na Uzini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...