Skip to main content

Mvua yanyesha Maeneo Mbali Mbali Dar es Salaam

NI moja ya yalio tuama kwenye barabara kolofi leo.

NI moja ya mtaa katika Wilaya ya Kinondoni majira ya saa kumi jione ya leo .

NI mtaro uliopo pembezoni mwa bara bara ya Azikiwe Posta Mpaya Dar es Slaam , Mtaro huo unaonekana ukiwa na maji , kutokana na mvua zilizo anza kunyesha majira ya sanne asubihi leo.

Comments