Skip to main content

NI UZINDUZI WA MAVAZI MAPYA TINGATINGA FASHION

Kwa mara ya kwanza katika historia ya sanaa nchini Tanzania, mjasiriamali na mbunifu wa mavazi na mwanaharakati kwenye sekta ya utamaduni, Bi. Sophia Urio, kwa kuzingatia ushauri wa wataalam ambao nao pia ni wajasiriamali, amefanya ubunifu wa kipekee na kuanzisha mtindo mpya wa mavazi, unaotambulika kwa jina la “Tinga Tinga Fashions”.
“Nilipewa ushauri wa kufanya kitu kipya, wazo jipya, kwa kuzingatia kwamba wabunifu wengi wa mavazi hapa nchini wanarudia mambo yale yale ya zamani, na wengi wanaiga mitindo ya nje ya nchi. Sanaa ya Tinga Tinga iliasiliwa hapa nchini, ni fahari yetu.
Tunapofanya ubunifu tuzingatie kwanza hazina iliyopo nchini, kabla ya kutoka nje ya nchi. Mbona wabunifu wa nje wanazingatia urithi wao, iweje sisi tuwe waigizaji kila siku?” alisema Bi. Sophia.
Bi. Sophia amesema, alichokifanya ni kuunganisha sanaa ya michoro ya Tinga Tinga, iliyoanzishwa na mchoraji mahiri, marehemu Mzee Saidi Tinga Tinga, na sanaa ya ubunifu wa mavazi, kwa kuzingatia mila na tamaduni za Kitanzania.
“Nimeunganisha sanaa ya uchoraji, kupitia mtindo wa Tinga Tinga, na sanaa ya ubunifu wa mavazi, kwa kuzingatia mitindo ya Kitanzania na Kiafrika, hivyo nikapata kitu kinachoitwa Tinga Tinga Fashions. Hii ndiyo asili ya mtindo huu mpya kabisa, ambao ni muunganisho wa aina mbili sanaa zenye historia moja,” aliongeza Bi. Sophia.
Akizingatia hazina kubwa ya utamaduni iliyoasisiwa na marehemu Mzee Saidi Tinga Tinga, pamoja na wanafunzi wake walioendeleza fani hiyo, Bi. Sophia amesema amewaalika warithi wa marehemu Saidi Tinga Tinga pamoja na wachoraji wanaoendeleza fani hiyo kushiriki kwenye uzinduzi huo, ambao utafanyika kwenye ukumbi wa Kituo cha Utamaduni cha Makumbusho (Makumbusho Culture Centre), kilichopo Makumbusho, Kijitonyama, Dar es Salaam, kuanzia saa 12 jioni, Jumamosi, Agosti 7, 2010.
Amesema ameamua kuwaalika wadau wa sanaa ya Tinga Tinga ili kuwaenzi kutokana na mchango wao mkubwa kwenye sanaa Tanzania, pia kuchangia uhamasishaji wa kazi yao ya kisanii yenye kiwango bora ili ithaminiwe na kufahamika zaidi miongoni mwa Watanzania. Wasanii wa Tinga Tinga wataonesha kazi zao kwenye ukumbi huo wakati wa uzinduzi ili kuitangaza zaidi sanaa hiyo kwa kuwapatia elimu watazamaji.
Uzinduzi utapambwa na onesho la mavazi, ambapo mavazi tano ambayo yatabuniwa kwa madhumuni ya uzinduzi huo. Mavazi yataoneshwa kwenye jukwaa la Makumbusho Culture Centre, yakinadiwa na warembo mahiri ambao wameteuliwa kuonesha mavazi hayo. Bi. Sophia Urio, mbunifu wa mavazi hayo, amesema kwamba yataonesha hali halisi ya utamaduni wa mavazi wa Mtanzania, hususan, vazi linalostahili kuvaliwa na mwanamke anayezingatia mila na tamaduni za nchi yake.
Kwa upande wa burudani, onesho hilo litapambwa na wanamuziki wa bendi ya FM Academia (Wazee wa Ngwasuma), ambao watawaburudisha watazamaji ipasavyo. Pia, Bi. Sophia atasindikizwa na mbunifu chipukizi, Kemmy, kutoka kampuni ya “Binti Afrika”, ambaye naye ataonesha baadhi ya mavazi aliyoyabuni, akiwa na warembo watakaopanda jukwaani kuonesha mavazi hayo. Kiingilio kwa ajili ya uzinduzi huo pamoja na burudani zote zitakazokuwapo ni Shilingi za Kitanzania

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...