FARAJA Kota katikati misezz Razaro Nyalandu pamoja na mumewe kulia wakiwa katika picha ya pamoja Mohammed Dewji aliyekuwa Mbunge wa Singida Mjini wakifurahi ushindi walioupata katika majimbo katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi kwenye majimbo yao, Faraja Kota aliwahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2004 hivi sasa ni mama wa watoto wawili.Picha kwa hisani ya fullshangwe.blogspot.
Comments