Skip to main content

Yanavyo Jili Kombe la Dunia

Michuano ya Kombe la Dunia , zilianza jana kwa wenyeji Afrika Kusini kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mexico, katika mechi ya Kundi A iliyopigwa katika Uwanja wa City Soccer wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 94,700 mjini hapa.



Mshambuliaji Siphiwe Tshabalala aliweka historia ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli la kwanza la michuano hiyo kwa Bafana Bafana katika fainali za Kombe la Dunia Afrika Kusini 2010.

Mchezaji huyo alifunga goli hilo dakika ya 55, lakini matumaini yao ya kuibuka na ushindi katika mechi hiyo, yalikatishwa na Mexico ambayo ilisawazisha bao hilo kupitia kwa Rafael Marquez, zikiwa zimesalia dakika 11 mpira kuisha.



Hapa JIJINI Dar es Salaam kulionekana mashabiki wengi kujongea sehemu zenye kuonesha mpira , katika maeneo mengi kama baa na sehemu nyingine kemkem , timu ya Mexico ambayo ilitawala kipindi cha kwanza na ilikosa nafasi nyinngi hadi, Tshabalala alipopata pasi nzuri ya Teko Modise na kumfunga kipa wa Mexico, Oscar Perez katika dakika ya 55.


Tangu nianze kuona michuano hii kiuhalisia nikiwa kijana wa miaka takribani Saba hivi jijini Mwanza ambapo eneo kama la Communitt Center katika kata ya Mirongo nahakika michuano hii naiona kuwa ya kivutio kikubwa kama nilivyokuwa nimeona mechi mbali mbali miaka ya tisini kuja juu kwani watu mbali mbali wanaonekana kufuatilia michuano hii kwa umakini nalejea tena.

Wakicheza mbele ya mashabiki 90,000, ndani ya uwanja wa wao Soccer City, Bafana bafana hawakuweza kuibuka na ushindi.



Kipindi cha pili Bafana Bafana ikiwa katika jitihada za kuongeza mashambulizi, ilijisahau ambapo kiungo wa Mexico, Marquez aliinasa vizuri pasi ya Andres Guardado na kufunga goli la kusawazisha.



Timu zote zilicheza kwa nguvu kutaka kupata goli la ushindi na Katlego Mphela, angeweza kufunga goli la ushindi dakika 85 wakati alipopiga shuti na mpira kugonga mlingoti wa goli na kurudi uwanjani.



Awali Mexico ilifunga goli dakika ya 38, lililofungwa na Carlos Vela lakini lilikataliwa na mshika kibendera kwa madai kuwa mfungaji akulikuwa ameotea wakati beki mmoja Bafana Bafana alikuwa kwenye mstari wa goli pamoja na kipa ambaye alitoka.



Afrika Kusini inayonolewa na Carlos Perreira, ilijibu shambulizi dakika ya 44 ambapo, Tshabalala aliunganisha mpira wa kona na kipa Perez aliupangua na kuwa kona nyingine.



Mechi hiyo ilitanguliwa na sherehe za ufunguzi wa mashindano zilizoongozwa na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma aliyefungua rasmi mashindano hayo, Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Sepp Blatter aliyetoa iliyeipongeza Afrika Kusini kwa maandalizi mazuri.
WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Afrika Kusini wakishangilia bao lao lililofungwa na Siphiwe Tshabalala katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana katika Uwanja wa Soccer City, ambapo timu hizo zilitoka sare ya 1-1.


HAPA jana ilikuwa kazi katika kitanange cha fungua dimba huko Africa Kusini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...