Polisi wa Usafiri wa Piki Piki Dar ni Chanzo cha Kutokomeza Uharamia
POLISI wanaotembea na usafiri wa Piki Piki wamekuwa wakifanya dolia yao kwa umakini katika mitaa na barabarani na hali hiyo imekuwa ikionekana kusaidia sana matukio ya uhalamia hususani Jijini Dar es Salaam.
Comments