Skip to main content

Rais wa Klabu ya Simba Ismail Aden Rage Kuwania Ubunge Tabora


Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya klabu hiyo Dar es Salaam, leo kuhusu nia yake ya kutaka kugombea ubunge katika jimbo la Tabora mjini. (Picha na Francis Dande)


Na Shaban Mbegu

UONGOZI wa Simba, umetangaza jana ilimtangaza Katibu Mkuu mpya wa kuajiriwa, Evadus Mtawala ambaye atakuwa akifanya kazi zote za utawala za Klabu hiyo.

Akizungumza Dar es Salaam jana Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Aden Rage alisema Mtawala amepewa kazi hiyo baada ya Kamati ya Utendaji ya Simba kuridhika naye.

Alisema licha ya Mtawala kupewa jukumu hilo Kamati ya Utendaji pia ilimtangaza Deoniz Malinzi kuwa mlezi wa Klabu baada ya kuridhika na sifa alizonazo.

Rage alisema Kamati hiyo pia iliwatangaza wadhamini wa Klabu hiyo kuwa Ramesh Patel, Hamisi Kilomoni, Mzee Abdulahib na Abbas Sykes ambaye amekuwa mdhamini tangu Klabu hiyo ilipoanzishwa.


Akizungumzia wasifu wa Mtawala, Rage alisema kitaaluma ni mwanasheria na pia ni mtaalamu wa mambo ya komputa, lugha za Kifaransa, Kiswahili na Kiingereza.

"Huyu ndiye tunatarajia atakuwa ni Katibu wetu wa kuajiriwa, lakini kwa sasa tumempa muda wa miezi mitatu kuangalia utendaji wake, kama tutaridhika nao tutampa jukumu hilo moja kwa moja", alisema.

Katika hatua nyingine Rage ameliomba Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), kutoa ufafanuzi juu ya sheria mpya ambayo waitangaza kuhusiana na kusajili wachezaji watano wa kigeni, badala ya kumi kama ilivyokuwa msimu uliopita.

Alisema kutokana Simba kukabiliwa na mashindano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu ndiyo maana wanahitaji kuwa na wachezaji wengi wa kigeni kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao.

Wakati huo huo Rage jana alitangaza rasmi kuwania Ubunge wa jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...