Skip to main content

Rais wa Klabu ya Simba Ismail Aden Rage Kuwania Ubunge Tabora


Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya klabu hiyo Dar es Salaam, leo kuhusu nia yake ya kutaka kugombea ubunge katika jimbo la Tabora mjini. (Picha na Francis Dande)


Na Shaban Mbegu

UONGOZI wa Simba, umetangaza jana ilimtangaza Katibu Mkuu mpya wa kuajiriwa, Evadus Mtawala ambaye atakuwa akifanya kazi zote za utawala za Klabu hiyo.

Akizungumza Dar es Salaam jana Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Aden Rage alisema Mtawala amepewa kazi hiyo baada ya Kamati ya Utendaji ya Simba kuridhika naye.

Alisema licha ya Mtawala kupewa jukumu hilo Kamati ya Utendaji pia ilimtangaza Deoniz Malinzi kuwa mlezi wa Klabu baada ya kuridhika na sifa alizonazo.

Rage alisema Kamati hiyo pia iliwatangaza wadhamini wa Klabu hiyo kuwa Ramesh Patel, Hamisi Kilomoni, Mzee Abdulahib na Abbas Sykes ambaye amekuwa mdhamini tangu Klabu hiyo ilipoanzishwa.


Akizungumzia wasifu wa Mtawala, Rage alisema kitaaluma ni mwanasheria na pia ni mtaalamu wa mambo ya komputa, lugha za Kifaransa, Kiswahili na Kiingereza.

"Huyu ndiye tunatarajia atakuwa ni Katibu wetu wa kuajiriwa, lakini kwa sasa tumempa muda wa miezi mitatu kuangalia utendaji wake, kama tutaridhika nao tutampa jukumu hilo moja kwa moja", alisema.

Katika hatua nyingine Rage ameliomba Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), kutoa ufafanuzi juu ya sheria mpya ambayo waitangaza kuhusiana na kusajili wachezaji watano wa kigeni, badala ya kumi kama ilivyokuwa msimu uliopita.

Alisema kutokana Simba kukabiliwa na mashindano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu ndiyo maana wanahitaji kuwa na wachezaji wengi wa kigeni kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao.

Wakati huo huo Rage jana alitangaza rasmi kuwania Ubunge wa jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.