Skip to main content

Maximo Awapa Wosia Watanzania


KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Marcio Maximo ambaye anamaliza mkataba wake mwezi ujao, amesema Tanzania inahitaji kuwekeza zaidi katika soka la vijana kuliko la wakubwa kama ilivyo hivi sasa nchini.

Akizungumza na Dar es Salaam jana, Maximo alisema kama kweli Tanzania inahitaji kupata maendeleo makubwa katika soka haina budi kuongeza mikakati kwenye soka la vijana ambalo ndiyo maendeleo ya mchezo huo katika miaka ya baadaye.

Alisema japokuwa watu wengi wamekuwa wakimbeza kutokana na timu ya taifa kushindwa kucheza michuano ya kiamataifa, tangu alipotua nchini, lakini anajivunia mambo mengi aliyofanya, hasa katika kuhakikisha mchezo huo unaanzia chini kwa vijana wadogo ambao ndio chimbuko la wachezaji wa baadaye.

Maximo alisema japokuwa muda wake wa kufanya kazi nchini umekwisha na tayari kocha mwingine wa kumrithi amepatikana, lakini kila siku atawashauri wadau wa soka wa hapa nchini kuwekeza zaidi katika vijana, kuliko kutegemea kupata mafanikio ya mapema kwenye timu ya wakubwa.

"Ili kuweza kuwa na timu nzuri itakayofanya vizuri katika mashindano ya kimataifa ni lazima ukubali kupoteza muda mrefu katika kuwaandaa vijana wadogo, ambao baada ya muda huja kuwa wachezaji wazuri wenye mafanikio kama watakavyokuja kuwa hawa vijana wa waliokwenda Afrika Kusini kushiriki Copa Coca-Cola", alisema.

Wakati huo huo Maximo, alisema wiki ijayo atawaaga Watanzania na kutoa tathimini yake juu ya soka la Tanzania kuanzia alipokuja nchini mpaka kufikia hivi sasa mkataba wake ulipofikia ukingoni.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.