Skip to main content

Wanne C.C.M Kugombea Jimbo la Kwele

BAADA ya Mbunge wa jimbo la Kwela Sumbawanga Vijijini, Dk.Chrisant Mzindakaya, kutangaza kwamba hana mpango wa kugombea ubunge mwaka huu, wanachama wanne wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuwania nafasi hiyo akiwemo Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji kilichopo jijiji Mbeya, Stephen Chambanenge.Chambanenge ambaye yupo kwenye kitivo cha Sayansi ya Jamii katika chuo hicho,akizungumza na Nipashe jana alisema ameamua kugombea ili kuleta changamoto mpya ya maendeleo katika jimbo hilo ambalo linakabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ubovu wa miundombinu hususani ya barabara."Ubunge wa sasa unahitaji mtazamo mpya unaoshabihiana na kasi ya karne ya Sayansi na Teknolojia hivyo maarifa ya kisasa na uwezo wa kufikiri na kutenda kwa haraka kunahitajika ili kuleta kasi ya maendeleo,"alisema Chambanenge.Alisema jimbo la Kwela ambalo asilimia zaidi 80 ya wakazi wake ni wakulima bado linakabiliwa na matatizo kadhaa kama vile ukosefu wa soko la uhakika la kuuzia mazao yao na hivyo wafanyabiashara wakubwa kuwalangua kwa kununua mazao kwa bei ndogo na kusababisha wakulima kuendelea kuwa maskini.Chambanenge alisema kama Chama cha Mapinduzi kitamteua kuwa mgombea ubunge katika jimbo hilo na wananchi kumchagua kipaumbele chake cha kwanza itakuwa ni kuinua hali ya maisha ya kipato cha wananchi kwa kuboresha upatikanaji wa soko la mazao na kuifanya ardhi itumike kama rasmali ya kutoamitaji kwa wananchi.Awali Katibu wa CCM Wilaya ya Sumbawanga Vijijini, Mariamu Mwambanga, akizungumza na Nipashe kwa simu jana aliwataja wanachama wengine waliotangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kwela kuwa ni pamoja na Diwani wa kata ya Milepa, Ignas Malocha.Wengine ni Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Wilaya ya Kasuru mkoani Kigoma, Benedict Chapewa na Meja Jenerali Januari Kisanko.Baadhi ya wananchi wa wilaya ya Sumbawanga vijiji walioongea na gazeti hili walisema DkMzindakaya ambaye amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 30 amesoma alama za nyakati ndiyo maana ameamua kutangaza hadharani kuwa hana tena mpango wa kugombea nafasi hiyo ya ubunge.Walisema kwa vyeo ambavyo amewahi kushika katika nchi hii, inatosha kusema Dk. Mzindakaya anastaafu siasa akiwa na heshima nyingi za utumishi kwa wananchi wake na kwa Watanzania wote.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...