Skip to main content

Wanne C.C.M Kugombea Jimbo la Kwele

BAADA ya Mbunge wa jimbo la Kwela Sumbawanga Vijijini, Dk.Chrisant Mzindakaya, kutangaza kwamba hana mpango wa kugombea ubunge mwaka huu, wanachama wanne wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuwania nafasi hiyo akiwemo Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji kilichopo jijiji Mbeya, Stephen Chambanenge.Chambanenge ambaye yupo kwenye kitivo cha Sayansi ya Jamii katika chuo hicho,akizungumza na Nipashe jana alisema ameamua kugombea ili kuleta changamoto mpya ya maendeleo katika jimbo hilo ambalo linakabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ubovu wa miundombinu hususani ya barabara."Ubunge wa sasa unahitaji mtazamo mpya unaoshabihiana na kasi ya karne ya Sayansi na Teknolojia hivyo maarifa ya kisasa na uwezo wa kufikiri na kutenda kwa haraka kunahitajika ili kuleta kasi ya maendeleo,"alisema Chambanenge.Alisema jimbo la Kwela ambalo asilimia zaidi 80 ya wakazi wake ni wakulima bado linakabiliwa na matatizo kadhaa kama vile ukosefu wa soko la uhakika la kuuzia mazao yao na hivyo wafanyabiashara wakubwa kuwalangua kwa kununua mazao kwa bei ndogo na kusababisha wakulima kuendelea kuwa maskini.Chambanenge alisema kama Chama cha Mapinduzi kitamteua kuwa mgombea ubunge katika jimbo hilo na wananchi kumchagua kipaumbele chake cha kwanza itakuwa ni kuinua hali ya maisha ya kipato cha wananchi kwa kuboresha upatikanaji wa soko la mazao na kuifanya ardhi itumike kama rasmali ya kutoamitaji kwa wananchi.Awali Katibu wa CCM Wilaya ya Sumbawanga Vijijini, Mariamu Mwambanga, akizungumza na Nipashe kwa simu jana aliwataja wanachama wengine waliotangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kwela kuwa ni pamoja na Diwani wa kata ya Milepa, Ignas Malocha.Wengine ni Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Wilaya ya Kasuru mkoani Kigoma, Benedict Chapewa na Meja Jenerali Januari Kisanko.Baadhi ya wananchi wa wilaya ya Sumbawanga vijiji walioongea na gazeti hili walisema DkMzindakaya ambaye amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 30 amesoma alama za nyakati ndiyo maana ameamua kutangaza hadharani kuwa hana tena mpango wa kugombea nafasi hiyo ya ubunge.Walisema kwa vyeo ambavyo amewahi kushika katika nchi hii, inatosha kusema Dk. Mzindakaya anastaafu siasa akiwa na heshima nyingi za utumishi kwa wananchi wake na kwa Watanzania wote.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...