Skip to main content

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA
USAJILI WA NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI
1. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitoa agizo kuwa nambazote za simu za mkononi zisajiliwe kati ya Julai 1 2009 hadiDesemba 31, 2009; na baadaye muda huo kuongezwa hadi tarehe30 Juni 2010 ikitamkwa wazi kuwa muda huo wa ujasilihautaongezwa tena. Sababu za kuanzisha utaratibu wa kusajilinamba za simu zimeelezwa mara kadhaa zikiwemo:(i) Kuwalinda watumiaji dhidi ya matumizi mabaya ya huduma zamawasiliano(ii) Kuwezesha na kurahisisha utambuzi wa wateja watumiapohuduma mbalimbali kama M – Pesa, Z-pesa, ZAP na hudumanyingine za malipo ya Ankara kama za Umeme, Maji,Televisheni n.k.(iii) Kuimarisha usalama wa nchi.(iv) Kuyawezesha makampuni ya simu kuwafahamu wateja waovizuri zaidi ili kurahisisha na kuboresha utoaji wa hudumakwao.2. Wakati tunakaribia tarehe 30 Juni 2010, utaratibu umepangwakupitia Makampuni ya simu kuwa kuanzia tarehe 1 Juni 2010kuhakikisha laini yoyote itakayonunuliwa itatumika kwa kupiga aukupokea simu na kutuma au kupokea ujumbe ikiwa imesajiliwatu na si vinginevyo.23. Baada ya saa sita usiku tarehe 30 Juni yaani saa 00.00 kuanziatarehe 1 Julai, 2010 namba yoyote ambayo itakuwa haijasajiliwaitafungiwa kupiga ,kupokea simu pamoja na ujumbe wa maandishi(SMS) kwa siku 90 hadi tarehe 30 Septemba 2010. Katika kipindihiki cha siku 90 endapo mtumiaji ataisajili namba yakeitafunguliwa. Kwa namba ambazo hazitakuwa zimesajiliwa ifikapotarehe 30 Septemba zitafutwa na kuondolewa kwenye mitandaokabisa.4. Mamlaka ya Mawasiliano imekubaliana na Makampuni ya simukufanya uhakiki wa usajili wa laini za simu za wateja kwa kutumianamba 106 kupitia simu za mkononi. Kwa wateja wa mitandaoiliyoko katika mifumo ya GSM, kama Zain, Vodacom, MIC (Tigo) naZantel, wateja wanatakiwa kuingiza *106# na kwa wateja wamitandao inayotumia mfumo wa CDMA kama BOL, TTCL mobile naSASATEL wateja watatakiwa kupiga namba 106 na watapokeataarifa za usajili.5. Hivi karibuni mswada wa sheria ya mawasiliano ya kielektroniki naposta ulipitishwa na Bunge kuwa sheria. Sheria hiyo inafanya usajiliwa namba za simu za mkononi kuwa ni wa lazima kwa mujibu washeria hio kuanzia sasa na kutofanya hivyo ni kosa la jinai. Adhabuni pamoja na faini au kifungo au vyote pamoja.6. Mamlaka ya Mawasiliano inapenda kuyashukuru makampuni ya simuna watumiaji kwa ushirikiano ambao wameonesha mpaka sasa kwaajili ya kufanikisha zoezi hili.Tunawasihi wote waendelee kusajililaini mpya kabla ya matumizi baada ya tarehe 30 juni 2010 nakuendelea kuhakiki laini zote zilizosajiliwa ili kukamilisha usajilikama ilivyokusudiwa.
Imetolewa naMkurugenzi MkuuMamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...