Skip to main content

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA
USAJILI WA NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI
1. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitoa agizo kuwa nambazote za simu za mkononi zisajiliwe kati ya Julai 1 2009 hadiDesemba 31, 2009; na baadaye muda huo kuongezwa hadi tarehe30 Juni 2010 ikitamkwa wazi kuwa muda huo wa ujasilihautaongezwa tena. Sababu za kuanzisha utaratibu wa kusajilinamba za simu zimeelezwa mara kadhaa zikiwemo:(i) Kuwalinda watumiaji dhidi ya matumizi mabaya ya huduma zamawasiliano(ii) Kuwezesha na kurahisisha utambuzi wa wateja watumiapohuduma mbalimbali kama M – Pesa, Z-pesa, ZAP na hudumanyingine za malipo ya Ankara kama za Umeme, Maji,Televisheni n.k.(iii) Kuimarisha usalama wa nchi.(iv) Kuyawezesha makampuni ya simu kuwafahamu wateja waovizuri zaidi ili kurahisisha na kuboresha utoaji wa hudumakwao.2. Wakati tunakaribia tarehe 30 Juni 2010, utaratibu umepangwakupitia Makampuni ya simu kuwa kuanzia tarehe 1 Juni 2010kuhakikisha laini yoyote itakayonunuliwa itatumika kwa kupiga aukupokea simu na kutuma au kupokea ujumbe ikiwa imesajiliwatu na si vinginevyo.23. Baada ya saa sita usiku tarehe 30 Juni yaani saa 00.00 kuanziatarehe 1 Julai, 2010 namba yoyote ambayo itakuwa haijasajiliwaitafungiwa kupiga ,kupokea simu pamoja na ujumbe wa maandishi(SMS) kwa siku 90 hadi tarehe 30 Septemba 2010. Katika kipindihiki cha siku 90 endapo mtumiaji ataisajili namba yakeitafunguliwa. Kwa namba ambazo hazitakuwa zimesajiliwa ifikapotarehe 30 Septemba zitafutwa na kuondolewa kwenye mitandaokabisa.4. Mamlaka ya Mawasiliano imekubaliana na Makampuni ya simukufanya uhakiki wa usajili wa laini za simu za wateja kwa kutumianamba 106 kupitia simu za mkononi. Kwa wateja wa mitandaoiliyoko katika mifumo ya GSM, kama Zain, Vodacom, MIC (Tigo) naZantel, wateja wanatakiwa kuingiza *106# na kwa wateja wamitandao inayotumia mfumo wa CDMA kama BOL, TTCL mobile naSASATEL wateja watatakiwa kupiga namba 106 na watapokeataarifa za usajili.5. Hivi karibuni mswada wa sheria ya mawasiliano ya kielektroniki naposta ulipitishwa na Bunge kuwa sheria. Sheria hiyo inafanya usajiliwa namba za simu za mkononi kuwa ni wa lazima kwa mujibu washeria hio kuanzia sasa na kutofanya hivyo ni kosa la jinai. Adhabuni pamoja na faini au kifungo au vyote pamoja.6. Mamlaka ya Mawasiliano inapenda kuyashukuru makampuni ya simuna watumiaji kwa ushirikiano ambao wameonesha mpaka sasa kwaajili ya kufanikisha zoezi hili.Tunawasihi wote waendelee kusajililaini mpya kabla ya matumizi baada ya tarehe 30 juni 2010 nakuendelea kuhakiki laini zote zilizosajiliwa ili kukamilisha usajilikama ilivyokusudiwa.
Imetolewa naMkurugenzi MkuuMamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...