Skip to main content

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA
USAJILI WA NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI
1. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitoa agizo kuwa nambazote za simu za mkononi zisajiliwe kati ya Julai 1 2009 hadiDesemba 31, 2009; na baadaye muda huo kuongezwa hadi tarehe30 Juni 2010 ikitamkwa wazi kuwa muda huo wa ujasilihautaongezwa tena. Sababu za kuanzisha utaratibu wa kusajilinamba za simu zimeelezwa mara kadhaa zikiwemo:(i) Kuwalinda watumiaji dhidi ya matumizi mabaya ya huduma zamawasiliano(ii) Kuwezesha na kurahisisha utambuzi wa wateja watumiapohuduma mbalimbali kama M – Pesa, Z-pesa, ZAP na hudumanyingine za malipo ya Ankara kama za Umeme, Maji,Televisheni n.k.(iii) Kuimarisha usalama wa nchi.(iv) Kuyawezesha makampuni ya simu kuwafahamu wateja waovizuri zaidi ili kurahisisha na kuboresha utoaji wa hudumakwao.2. Wakati tunakaribia tarehe 30 Juni 2010, utaratibu umepangwakupitia Makampuni ya simu kuwa kuanzia tarehe 1 Juni 2010kuhakikisha laini yoyote itakayonunuliwa itatumika kwa kupiga aukupokea simu na kutuma au kupokea ujumbe ikiwa imesajiliwatu na si vinginevyo.23. Baada ya saa sita usiku tarehe 30 Juni yaani saa 00.00 kuanziatarehe 1 Julai, 2010 namba yoyote ambayo itakuwa haijasajiliwaitafungiwa kupiga ,kupokea simu pamoja na ujumbe wa maandishi(SMS) kwa siku 90 hadi tarehe 30 Septemba 2010. Katika kipindihiki cha siku 90 endapo mtumiaji ataisajili namba yakeitafunguliwa. Kwa namba ambazo hazitakuwa zimesajiliwa ifikapotarehe 30 Septemba zitafutwa na kuondolewa kwenye mitandaokabisa.4. Mamlaka ya Mawasiliano imekubaliana na Makampuni ya simukufanya uhakiki wa usajili wa laini za simu za wateja kwa kutumianamba 106 kupitia simu za mkononi. Kwa wateja wa mitandaoiliyoko katika mifumo ya GSM, kama Zain, Vodacom, MIC (Tigo) naZantel, wateja wanatakiwa kuingiza *106# na kwa wateja wamitandao inayotumia mfumo wa CDMA kama BOL, TTCL mobile naSASATEL wateja watatakiwa kupiga namba 106 na watapokeataarifa za usajili.5. Hivi karibuni mswada wa sheria ya mawasiliano ya kielektroniki naposta ulipitishwa na Bunge kuwa sheria. Sheria hiyo inafanya usajiliwa namba za simu za mkononi kuwa ni wa lazima kwa mujibu washeria hio kuanzia sasa na kutofanya hivyo ni kosa la jinai. Adhabuni pamoja na faini au kifungo au vyote pamoja.6. Mamlaka ya Mawasiliano inapenda kuyashukuru makampuni ya simuna watumiaji kwa ushirikiano ambao wameonesha mpaka sasa kwaajili ya kufanikisha zoezi hili.Tunawasihi wote waendelee kusajililaini mpya kabla ya matumizi baada ya tarehe 30 juni 2010 nakuendelea kuhakiki laini zote zilizosajiliwa ili kukamilisha usajilikama ilivyokusudiwa.
Imetolewa naMkurugenzi MkuuMamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.