
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akimpa zawadi mwanafunzi Ismail A.Ismail wa SOS aliyepata Point 4,akiwa ni katika wanafunzi bora kwa jumla kidato 6 February mwaka 2010,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Comments