Skip to main content

Kesho Club Maisha Kufunguliwa Upya


Club Maisha inatarajiwa kufunguliwa upya Juni 24 mwaka

huu, baada ya kufanyiwa ujenzi mkubwa

kutokana na kuungua moto mwaka jana.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya

Entertainment Masters inayomiliki klabu hiyo,

Francis Anthony Ciza (Majey), alisema klabu

hiyo imefanyiwa ubunifu mkubwa ili kukonga

nyoyo kwa kutoa burudani murua na ya uhakika

kwa wateja wake.

“Club Maisha inakuja katika mtazamo mpya kwa

kutoa burudani za usiku Dar es Salaam

iliyopambwa vizuri, sauti ya kutosha na

inaipeleka Tanzania mbele katika kutoa burudani

za usiku.

“Baada ya miezi kadhaa wateja wetu kukosa

burudani, klabu yao sasa inarudi ikiwa ni ya

kisasa zaidi yenye televisheni 32 zitakazokuwa

zikionesha fainali za Kombe la Dunia na video

za muziki, sehemu mbili za kuchezea, vyumba

viwili maalumu vya VIP, hii yote ni katika

kuuweka kuwa ya kisasa,” alisema Majey.

Vitu vingine vilivyopo katika Club Maisha ni

pamoja na sehemu za kuvutia sigara, varanda ya

juu, sehemu saba (7) za baa, jiko na TV kubwa

inayoonesha fainali za Kombe la Dunia na

michezo mingine kwa nje.

Mkurugenzi Mtendaji huyo alisema siku

itakayofunguliwa Club Maisha itakolezwa na

kusisimuliwa na baadhi ya wachezeshaji muziki

(ma-DJ) kutoka Afrika Mashariki na Marekani

ambao watapiga nyimbo kali zinazotesa kwa

sasa duniani.

“Klabu tayari imekaguliwa na mainjinia kutoka

Idara ya Zimamoto pamoja na Shirika la Umeme

Tanzania (TANESCO) ili kuhakikisha hakuna ajali

ya moto inayoweza kutokea tena, na milango ya

dharura imeongezwa ili kuhakikisha usalama

mkubwa unakuwepo,” alisema Majey.

“Tumewekeza vya kutosha ili kuirejesha Club

Maisha katika nafasi yake ya ubora kwa klabu za

usiku Tanzani, tumeweka staili za kisasa kwa

lengo la kutoa burudani iliyotakata kwa wapenda

burudani za usiku,” alisema.

Viingilio vitabaki kuwa vya kawaida ambavyo
ni sh. 10,000 sehemu ya kawaida na sh. 20,000

kwa VIP. Tayari Jiji la Dar Salaam litaanza tena pilika pilika mpya kuanzia kesho kwani pande hizo zilikuwa zikitikisika vema kwa burudani ya disko hilo kabla ya ukumbi huo kuwaka moto.

Comments

Anonymous said…
I love club Maisha but i hate the way the djs fast foward songs... Why dont they play them the same way we hear and watch them from the redios and televisions???

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.