Skip to main content

Kesho Club Maisha Kufunguliwa Upya


Club Maisha inatarajiwa kufunguliwa upya Juni 24 mwaka

huu, baada ya kufanyiwa ujenzi mkubwa

kutokana na kuungua moto mwaka jana.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya

Entertainment Masters inayomiliki klabu hiyo,

Francis Anthony Ciza (Majey), alisema klabu

hiyo imefanyiwa ubunifu mkubwa ili kukonga

nyoyo kwa kutoa burudani murua na ya uhakika

kwa wateja wake.

“Club Maisha inakuja katika mtazamo mpya kwa

kutoa burudani za usiku Dar es Salaam

iliyopambwa vizuri, sauti ya kutosha na

inaipeleka Tanzania mbele katika kutoa burudani

za usiku.

“Baada ya miezi kadhaa wateja wetu kukosa

burudani, klabu yao sasa inarudi ikiwa ni ya

kisasa zaidi yenye televisheni 32 zitakazokuwa

zikionesha fainali za Kombe la Dunia na video

za muziki, sehemu mbili za kuchezea, vyumba

viwili maalumu vya VIP, hii yote ni katika

kuuweka kuwa ya kisasa,” alisema Majey.

Vitu vingine vilivyopo katika Club Maisha ni

pamoja na sehemu za kuvutia sigara, varanda ya

juu, sehemu saba (7) za baa, jiko na TV kubwa

inayoonesha fainali za Kombe la Dunia na

michezo mingine kwa nje.

Mkurugenzi Mtendaji huyo alisema siku

itakayofunguliwa Club Maisha itakolezwa na

kusisimuliwa na baadhi ya wachezeshaji muziki

(ma-DJ) kutoka Afrika Mashariki na Marekani

ambao watapiga nyimbo kali zinazotesa kwa

sasa duniani.

“Klabu tayari imekaguliwa na mainjinia kutoka

Idara ya Zimamoto pamoja na Shirika la Umeme

Tanzania (TANESCO) ili kuhakikisha hakuna ajali

ya moto inayoweza kutokea tena, na milango ya

dharura imeongezwa ili kuhakikisha usalama

mkubwa unakuwepo,” alisema Majey.

“Tumewekeza vya kutosha ili kuirejesha Club

Maisha katika nafasi yake ya ubora kwa klabu za

usiku Tanzani, tumeweka staili za kisasa kwa

lengo la kutoa burudani iliyotakata kwa wapenda

burudani za usiku,” alisema.

Viingilio vitabaki kuwa vya kawaida ambavyo
ni sh. 10,000 sehemu ya kawaida na sh. 20,000

kwa VIP. Tayari Jiji la Dar Salaam litaanza tena pilika pilika mpya kuanzia kesho kwani pande hizo zilikuwa zikitikisika vema kwa burudani ya disko hilo kabla ya ukumbi huo kuwaka moto.

Comments

Anonymous said…
I love club Maisha but i hate the way the djs fast foward songs... Why dont they play them the same way we hear and watch them from the redios and televisions???

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...