Skip to main content

TBL Yatangaza Udhamini Wake Katika Pool

katibu Katibu wa mchezo wa pool Taifa, Amos Kafwinga akizungumza na waandishi wa habari leo asubui kushoto ni meneja wa bia ya safari lager Fimbo Butallah togocho, Mwenyekiti wa mchezo wa pool,Isaac Togocho kushoto akizungumza na waandishi wa habari kuusu mashindano ya mchezo wa poo yatakayoanza mwezi ujao kulia ni Fimbo Butallah waandishi Baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano uho leo.


MCHEZO WA POOL KITAIFA 2010

Kampuni ya bia Tanzania (TBL)

kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza kwa mara nyingine

udhamini wake katika mashindano ya Taifa ya mchezo wa pool mwaka

2010 mashindano hayo yanatarajia kuanza rasmi tarehe 13 mwezi julai

2010 katika ngazi za mikoa
Akitangaza udhamini uho meneja wa bia hiyo

Fimbo Butallah amesema'Bia ya SAfari Lagel' imekuwa mdhamini mkuu

wa mchezo huu.hivyo ni dhamira ya bia hiyo kuendelea kudhamini

mashindano haya ya taifa na mengine mengi mchezo wa pool hapa

mchini.

Udhamini huu unaanzia ngzi ya mikoa hadi fainal ambazo kwa

mwaka huu zinatarajiwa kufanyika mjini Arusha mwishoni mwa mwezi

Septemba 2010

Meneja huyo wa bia ya Safari aliongeza kuwa udhamini

wa mwaka huu umeongezeka ukulinganisha na miaka ya nyuma.Ikiwa ni

pamoja na ongezeko la mikoa shiriki na zawadi za washindi.Akiweka wazi

aina ya zawadi ambazo washindi wa mwaka huu watapata katika ngazi za

mikoa na taifa.Fimbo Butallah amesema bingwa 500,000 mshindi wa pili

250,000 na wa tatu ataondoka na kitita cha 150,000


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.