Skip to main content

TBL Yatangaza Udhamini Wake Katika Pool

katibu Katibu wa mchezo wa pool Taifa, Amos Kafwinga akizungumza na waandishi wa habari leo asubui kushoto ni meneja wa bia ya safari lager Fimbo Butallah togocho, Mwenyekiti wa mchezo wa pool,Isaac Togocho kushoto akizungumza na waandishi wa habari kuusu mashindano ya mchezo wa poo yatakayoanza mwezi ujao kulia ni Fimbo Butallah waandishi Baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano uho leo.


MCHEZO WA POOL KITAIFA 2010

Kampuni ya bia Tanzania (TBL)

kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza kwa mara nyingine

udhamini wake katika mashindano ya Taifa ya mchezo wa pool mwaka

2010 mashindano hayo yanatarajia kuanza rasmi tarehe 13 mwezi julai

2010 katika ngazi za mikoa
Akitangaza udhamini uho meneja wa bia hiyo

Fimbo Butallah amesema'Bia ya SAfari Lagel' imekuwa mdhamini mkuu

wa mchezo huu.hivyo ni dhamira ya bia hiyo kuendelea kudhamini

mashindano haya ya taifa na mengine mengi mchezo wa pool hapa

mchini.

Udhamini huu unaanzia ngzi ya mikoa hadi fainal ambazo kwa

mwaka huu zinatarajiwa kufanyika mjini Arusha mwishoni mwa mwezi

Septemba 2010

Meneja huyo wa bia ya Safari aliongeza kuwa udhamini

wa mwaka huu umeongezeka ukulinganisha na miaka ya nyuma.Ikiwa ni

pamoja na ongezeko la mikoa shiriki na zawadi za washindi.Akiweka wazi

aina ya zawadi ambazo washindi wa mwaka huu watapata katika ngazi za

mikoa na taifa.Fimbo Butallah amesema bingwa 500,000 mshindi wa pili

250,000 na wa tatu ataondoka na kitita cha 150,000


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...