Skip to main content

TBL Yatangaza Udhamini Wake Katika Pool

katibu Katibu wa mchezo wa pool Taifa, Amos Kafwinga akizungumza na waandishi wa habari leo asubui kushoto ni meneja wa bia ya safari lager Fimbo Butallah togocho, Mwenyekiti wa mchezo wa pool,Isaac Togocho kushoto akizungumza na waandishi wa habari kuusu mashindano ya mchezo wa poo yatakayoanza mwezi ujao kulia ni Fimbo Butallah waandishi Baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano uho leo.


MCHEZO WA POOL KITAIFA 2010

Kampuni ya bia Tanzania (TBL)

kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza kwa mara nyingine

udhamini wake katika mashindano ya Taifa ya mchezo wa pool mwaka

2010 mashindano hayo yanatarajia kuanza rasmi tarehe 13 mwezi julai

2010 katika ngazi za mikoa
Akitangaza udhamini uho meneja wa bia hiyo

Fimbo Butallah amesema'Bia ya SAfari Lagel' imekuwa mdhamini mkuu

wa mchezo huu.hivyo ni dhamira ya bia hiyo kuendelea kudhamini

mashindano haya ya taifa na mengine mengi mchezo wa pool hapa

mchini.

Udhamini huu unaanzia ngzi ya mikoa hadi fainal ambazo kwa

mwaka huu zinatarajiwa kufanyika mjini Arusha mwishoni mwa mwezi

Septemba 2010

Meneja huyo wa bia ya Safari aliongeza kuwa udhamini

wa mwaka huu umeongezeka ukulinganisha na miaka ya nyuma.Ikiwa ni

pamoja na ongezeko la mikoa shiriki na zawadi za washindi.Akiweka wazi

aina ya zawadi ambazo washindi wa mwaka huu watapata katika ngazi za

mikoa na taifa.Fimbo Butallah amesema bingwa 500,000 mshindi wa pili

250,000 na wa tatu ataondoka na kitita cha 150,000


Comments