Skip to main content

UDA-RT yasalimu amri viwango vya nauli


Moja ya basi liendalo kasi la Kampuni ya DART
Moja ya basi liendalo kasi la Kampuni ya DART
Kampuni ya Mabasi yaendayo Kasi jijini Dar es Salaam (UDA-RT) imesema haina ugomvi na serikali na kwamba itakubaliana na kiwango chochote itakachoona kinafaa.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, David Mgwassa, alisema kiwango walichopendekeza na kujadiliwa katika Baraza la walaji la Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) kisitafsiriwe kuwa ni nauli halali, badala yake inaweza kukubalia au kukataliwa na serikali.
Juzi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alikataa ongezeko la nauli mpya kwa mabasi yaendayo kasi, alisema nauli hiyo itasababisha mzigo kwa wanbanchi na watumishi wa umma.
Alizitaka mamlaka husika zikiwemo TAMISEMI, Wizara ya Ujenzi, Sumatra na UDA-RT kukaa haraka kurekebisha viwango hivyo.
Kiwango kilichopendekezwa na UDA ni Sh. 1,200 kwa safari ya njia kuu na Sh. 1,400 kwa njia ya pembeni, wanafunzi watalipa nusu ya kiasi hicho kwa kila barabara.
Hata hivyo, Mgwassa alisema kisheria wao walitakiwa kuandaa mchanganuo wa nauli ya utoaji huduma hiyo na kufikisha kwenye baraza la walaji ili wadau watoe maoni.
Katika kikao cha kujadili mapendekezo hayo kilichofanyika hivi karibuni, Sumatra  na wadau mbalimbali walipinga nauli hizo wakisema ni gharama kumbwa ambayo wananchi wa kawaida hawawezi kumudu.
Sumatra  ilishauri nauli ya usafiri wa kutumia mabasi hayo iwe sh. 400 hadi 500 katika kutimiza malengo ya serikali kusaidi wananchi kuondokana na kero ya usafiri jijini Dar es Salaam.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.