Skip to main content

UDA-RT yasalimu amri viwango vya nauli


Moja ya basi liendalo kasi la Kampuni ya DART
Moja ya basi liendalo kasi la Kampuni ya DART
Kampuni ya Mabasi yaendayo Kasi jijini Dar es Salaam (UDA-RT) imesema haina ugomvi na serikali na kwamba itakubaliana na kiwango chochote itakachoona kinafaa.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, David Mgwassa, alisema kiwango walichopendekeza na kujadiliwa katika Baraza la walaji la Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) kisitafsiriwe kuwa ni nauli halali, badala yake inaweza kukubalia au kukataliwa na serikali.
Juzi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alikataa ongezeko la nauli mpya kwa mabasi yaendayo kasi, alisema nauli hiyo itasababisha mzigo kwa wanbanchi na watumishi wa umma.
Alizitaka mamlaka husika zikiwemo TAMISEMI, Wizara ya Ujenzi, Sumatra na UDA-RT kukaa haraka kurekebisha viwango hivyo.
Kiwango kilichopendekezwa na UDA ni Sh. 1,200 kwa safari ya njia kuu na Sh. 1,400 kwa njia ya pembeni, wanafunzi watalipa nusu ya kiasi hicho kwa kila barabara.
Hata hivyo, Mgwassa alisema kisheria wao walitakiwa kuandaa mchanganuo wa nauli ya utoaji huduma hiyo na kufikisha kwenye baraza la walaji ili wadau watoe maoni.
Katika kikao cha kujadili mapendekezo hayo kilichofanyika hivi karibuni, Sumatra  na wadau mbalimbali walipinga nauli hizo wakisema ni gharama kumbwa ambayo wananchi wa kawaida hawawezi kumudu.
Sumatra  ilishauri nauli ya usafiri wa kutumia mabasi hayo iwe sh. 400 hadi 500 katika kutimiza malengo ya serikali kusaidi wananchi kuondokana na kero ya usafiri jijini Dar es Salaam.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...