Skip to main content

Mzee Yusufu azindua 'Kaning’ang’ania' Dar Live Usiku wa jana

Mwimbaji mahiri wa kundi  la Jahazi Modern Taarab  Mzee Yusufu  usiku wa jana alizindua albamu mpya ya kundi hilo iitwayo Kaning’ang’ania   katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini hapa.

Baadhi ya nyimbo nyingine zilizo pagawisha mashabaki  katika uzinduzi huo ni 'Limekuuma' ya Fatma Ally, 'Nia Safi Hairogwi' ya Mish Mohyamed, 'Nina Moyo Sina Jiwe' ya Leila Rashid pamoja na Mashallah ya Mzee Yusuf akiwa na Vanessa Mdee



 





Comments