Skip to main content

CAF yashambuliwa !!

 

Yaya Toure ameilalamikia CAF kwa kushindwa kutambua mchango wa Ivory Coast
Yaya Toure ameilalamikia CAF kwa kushindwa kutambua mchango wa Ivory Coast
Yaya Toure ametoa mashambulizi ya hasira kwa kuliita Shirikisho la soka Afrika (CAF) kwamba halina maadili na huruma baada kukosa Tuzo ya Mchezaji bora wa Mwaka.
Kiungo huyo wa Manchester City, ambaye ameshinda tuzo hiyo mara nne, alishindwa na mshambuliaji wa Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang.
Yaya Toure, Andrew Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wakisubiria matokeo ya tuzo hizo
Yaya Toure, Andrew Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang (katikati) wakisubiria matokeo ya tuzo hizo
Aubameyang, aliyezaliwa nchini Ufaransa lakini ni mshambuliaji wa Gabon, amefunga magoli 24 katika michezo 23 kwenye msimu huu na anawinda Ligi Kuu.
Lakini Toure hakumumunya maneno yake, akitoa malalamiko kwa kile kinachoonekana kama shirikisho hilo halijaona ushindi wa Ivory Coast kwenye Kombe la Mataifa Afrika mwezi Februari.
Yaya Toure amelishambulia Shirikisho la soka la Afrika kwa kukosa tuzo hiyo
Yaya Toure amelishambulia Shirikisho la soka la Afrika kwa kukosa tuzo hiyo
“Nimekatishwa tamaa sana. Ni huzuni kuona Afrika inafanya namna hii, kwamba hawafikirii mafanikio ya Afrika ni muhimu,” aliiambia redio ya Ufaransa ya RFI.
“Nafikiri hichi ndicho kinacholeta aibu Afrika, kwa sababu kufanya hivi si uadilifu. Lakini tunaweza kufanya nini? Sisi Waafrika, hatuonyeshi kwamba Afrika ni muhimu machoni mwetu. Tunapendelea nje zaidi kuliko nyumbani kwetu. Inatia huruma.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...