Skip to main content

SOMA MAPYA KUHUSU SAMATTA NA TP MAZEMBE



Samatta-Nape 4
Baada ya dili la uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta kusuasua kutoka klabu yake ya TP Mazembe kwenda klabu ya Genk ya Ubeligiji, star huyo ameamua kurejea kwenye klabu yake hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa ajili ya mazungumzo na tajiri wa Mazembe Moise Katumbi kuhakikisha dili hilo linakamilika.
Manager wa Samatta Jamal Kisongo amesema, mbali na mazungumzo, Samatta amerejea kwenye klabu yake ili aendelee kujifua hata kama ikitokea boss huyo akamfungulia mlango wa kutokea basi awe yuko fiti kuingia moja kwa moja kwenye timu kuliko kuendelea kukaa nyumbani.
“Tumeona ni vyema Samatta akarejea Mazembe katika kumpa presha na kumsukuma Katumbi, amerejea kwenye kituo chake cha kazi na kumpa taarifa Katumbi kuwa kama hato muuza kwenye klabu ya Genk basi yeye atamalizia mkataba wake TP Mazembe na ataondoka mwezi April. Jambo ambalo kwa hakika Katumbi hawezi kukubaliana nalo kwakuwa anajua Samatta akiondoka mwezi April ataondoka bure na yeye atakuwa ameingia hasara”, amesema Kisongo  leo asubuhi wakati akihojiwa kwenye kipindi cha michezo cha E-FM Radio.
“Lakini tumeona pia ni muhimu akaenda Mazembe ili awe anafanya mazoezi hata kama ikitokea ameuzwa basi anaweza kutumika moja kwa moja kwasababu atakuwa yuko fiti”.
“Mkataba wake na Genk unampa nafasi ya kujiunga mwezi January kama Katumbi atamuuza, kama Katumbi atagoma, mkataba wake huohuo unampa nafasi ya kuweza kujiunga katika majira ya joto (mwezi wa 7)”.
“Mbwana Samatta jina lake halijaingizwa kwenye orodha ya majina ya wachezaji watakaocheza michuano ya klabu bingwa Afrika mwaka kuu, Katumbi alishamuacha kwasababu anajua anamaliza mkataba mwaka huu na atamuuza January. Kwa maana hiyo Mbwana hana faida kwenye klabu ya TP Mazembe kwasababu ligi ya ndani ndiyo ligi pekee anaweza kucheza ambayo hata wachezaji wengine wanaweza wakacheza vizuri tu”.
Mara baada ya Samatta kupata timu ambayo imeonesha kumuhitaji, boss wa Mazembe amekuwa akitia ngumu kumuachia Samatta kutimkia Ubeligiji badala yake amekuwa akimtafutia timu yeye mwenyewe huku akiwa na sababu zake binafsi za kufanya hivyo lakini hana sababu za kimantiki za kumzuia mchezaji huyo kujiunga na Genk.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...