Skip to main content

SOMA MAPYA KUHUSU SAMATTA NA TP MAZEMBE



Samatta-Nape 4
Baada ya dili la uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta kusuasua kutoka klabu yake ya TP Mazembe kwenda klabu ya Genk ya Ubeligiji, star huyo ameamua kurejea kwenye klabu yake hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa ajili ya mazungumzo na tajiri wa Mazembe Moise Katumbi kuhakikisha dili hilo linakamilika.
Manager wa Samatta Jamal Kisongo amesema, mbali na mazungumzo, Samatta amerejea kwenye klabu yake ili aendelee kujifua hata kama ikitokea boss huyo akamfungulia mlango wa kutokea basi awe yuko fiti kuingia moja kwa moja kwenye timu kuliko kuendelea kukaa nyumbani.
“Tumeona ni vyema Samatta akarejea Mazembe katika kumpa presha na kumsukuma Katumbi, amerejea kwenye kituo chake cha kazi na kumpa taarifa Katumbi kuwa kama hato muuza kwenye klabu ya Genk basi yeye atamalizia mkataba wake TP Mazembe na ataondoka mwezi April. Jambo ambalo kwa hakika Katumbi hawezi kukubaliana nalo kwakuwa anajua Samatta akiondoka mwezi April ataondoka bure na yeye atakuwa ameingia hasara”, amesema Kisongo  leo asubuhi wakati akihojiwa kwenye kipindi cha michezo cha E-FM Radio.
“Lakini tumeona pia ni muhimu akaenda Mazembe ili awe anafanya mazoezi hata kama ikitokea ameuzwa basi anaweza kutumika moja kwa moja kwasababu atakuwa yuko fiti”.
“Mkataba wake na Genk unampa nafasi ya kujiunga mwezi January kama Katumbi atamuuza, kama Katumbi atagoma, mkataba wake huohuo unampa nafasi ya kuweza kujiunga katika majira ya joto (mwezi wa 7)”.
“Mbwana Samatta jina lake halijaingizwa kwenye orodha ya majina ya wachezaji watakaocheza michuano ya klabu bingwa Afrika mwaka kuu, Katumbi alishamuacha kwasababu anajua anamaliza mkataba mwaka huu na atamuuza January. Kwa maana hiyo Mbwana hana faida kwenye klabu ya TP Mazembe kwasababu ligi ya ndani ndiyo ligi pekee anaweza kucheza ambayo hata wachezaji wengine wanaweza wakacheza vizuri tu”.
Mara baada ya Samatta kupata timu ambayo imeonesha kumuhitaji, boss wa Mazembe amekuwa akitia ngumu kumuachia Samatta kutimkia Ubeligiji badala yake amekuwa akimtafutia timu yeye mwenyewe huku akiwa na sababu zake binafsi za kufanya hivyo lakini hana sababu za kimantiki za kumzuia mchezaji huyo kujiunga na Genk.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.