Skip to main content

LIVERPOOL KUMNASA MSHAMBULIAJI WA BRAZIL!!




Alex Teixeira
Liverpool wanataka kumsajili mshambuliaji wa Shakhtar Donetsk Alex Teixeira mwenye asili ya kibrazil na kama dili hilo litafanikiwa huo utakuwa ni usajili mkubwa wa kwanza kufanywa na kocha Jurgen Klopp tangu awe manager wa kikosi cha Liverpool.
Wekundu hao wako tayari kulipa kiasi cha pauni milioni 24.5 kwa ajili ya kuinasa saini ya nyota huyo mwenye miaka 26. Klabu ya nyota huyo ambaye pia anahusishwa na Chelsea imeweka dau la pauni milioni 39 kwa klabu inayotaka kumsajili mshambuliaji wao.
Klopp anataka kuimarisha safu yake ya ushambuliaji kwa kuwa washambuliaji wake wengi ni majeruhi kwa sasa, Danny Ings, Divock Origi pamoja na Daniel Sturridge wote wanauguza majeraha.
Usajili wa pauni milioni 32.5 kumnasa Christian Benteke umeshindwa kuzaa matunda yaliyotarajiwa baada ya timu hiyo kujikuta ikufunga mabao 25 katika mechi 22 za ligi kuu England hadi sasa.
Teixeira ameshatupia kambani jumla ya magoli 22 kwenye mechi 15 za ligi na magoli mengine 10 kwenye michuano ya klabu bingwa msimu huu.
Nyota huyo alianzia soka lake kwenye klabu ya Vasco da Gama ya Brazil kabla ya kuhamia Shakhtar mwaka 2010.
Klopp amemsajili kwa mkopo beki Steven Caulker wa QPR na amekamilisha dili la kinda mwenye miaka 19 Marko Grujic kwa pauni milioni 5.1 ambaye ameachwa kwa mkopo kwenye klabu ya Belgrade hadi majira ya joto.
Usajili wa Teixeira utakuwa ni usajili wa kwanza mkubwa kwa Klopp kwenye soko la usajili na mshambuliaji huyo atakuwa ni mbrazil wa nne kwenye kikosi cha Liverpool akiwa ametanguliwa na Lucas Leiva, Roberto Firmino na Philippe Coutinho.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.