Skip to main content

SOMA RATIBA YA DK SLAA KUANZIA KESHO ANAVYOIZUNGUKA TANZANIA


Kupitia taarifa hii kwa vyombo vya habari Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuujulisha umma wa Watanzania kuwa Katibu Mkuu, Dk. Willibroad Slaa atafanya ziara ya kikazi katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi, ambapo atakuwa na shughuli kadhaa, ikiwemo kukagua mwenendo wa uandikishaji wa wapiga kura unaofanyika kwa mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR).


Katika ziara hiyo ya siku 6 kuanzia Jumamosi ya Mei 30, 2015, Katibu Mkuu Dk. Slaa mbali ya kujionea zoezi hilo la BVR katika vituo vya uandikishaji, atafanya mikutano ya hadhara kwenye maeneo yote atakayozuru ambapo atazungumza na wananchi juu ya masuala yanayowahusu katika maeneo yao pamoja na mengine ya kitaifa.

Kupitia shughuli hizo atakazofanya, Katibu Mkuu ataendelea kuwahamasisha Watanzania wenye sifa za kupiga kura, kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura (DKWK) linalofanyika maeneo mbalimbali nchini kwa kutumia mfumo wa BVR.

Aidha, Katibu Mkuu Dk. Slaa atatumia fursa hiyo kukagua shughuli mbalimbali za chama zinazofanywa na viongozi na watendaji wa CHADEMA katika kanda za chama; Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ambayo inajumuisha mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma Rukwa pia Kanda ya Magharibi yenye mikoa ya Kigoma, Tabora na Katavi.

Katibu Mkuu pia atapata fursa ya kukutana na viongozi na watendaji wa chama wa ngazi za chini katika kanda hizo na kusikia kutoka kwao namna wanavyoendelea kutekeleza programu na mikakati waliyojipangia katika maeneo yao au kuelekezwa na vikao vya chama, ikiwa ni sehemu ya kuzidi kukiandaa chama na UKAWA yaani vyama vinne (NLD, NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA), kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Ratiba ya ziara ya Katibu Mkuu Dk. Slaa itakuwa kama ifuatavyo;
1.      Jumamosi Mei 30, 2015 - Mbozi (Vwawa) atafanya mkutano wa hadhara Uwanja wa Ichenjezya.
2.      Jumapili Mei 31, 2015 – Tunduma- Mbeya, atafanya mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Shule ya Msingi Tunduma.
3.      Jumatatu Juni 1, 2015 – Sumbawanga- Rukwa, atafanya mkutano wa hadhara Uwanja wa Stendi ya Chanji, mjini Sumbawanga.
4.      Jumanne Juni 2, 2015 – Mpanda Mjini- Katavi, atafanya mkutano katika Uwanja wa Kashaulili.

Itakumbukwa kuwa Katibu Mkuu Dk. Slaa alifanya ziara ya siku 3 hivi karibuni katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kagera ambako alishuhudia udhaifu na mapungufu makubwa katika uandikishaji wa BVR, ikiwemo wananchi kutishwa, kupigwa, kuzuiwa kujiandikisha na viongozi wa CCM wakiwa vituoni, mashine kutofanya kazi, siku za kuandikishwa kutojulikana na uandikishaji kufanyika ‘electronically na manually’ bila maelezo yoyote kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Imetolewa leo Ijumaa, Mei 29, 2015 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano

CHADEMA

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.