Skip to main content

Kanye West apata udaktari wa heshima

 

Siku ya Jumatatu, rapa, 37, ambaye albamu yake ya kwanza iliitwa The College Dropout- alipokea shahada ya udaktari wa heshima kutoka kwenye Taasisi ya Sanaa ya Chicago, kwenye mahafali yake.
Kanye West akitoa hotuba yake baada ya kutuniwa udaktari wa heshima Chuo Kikuu cha Chicago
Kanye West akitoa hotuba yake baada ya kutuniwa udaktari wa heshima Chuo Kikuu cha Chicago
Kanye alishindwa kuficha furaha zake wakati alipofika mbele chuoni hapo – kinachofahamika kama moja ya chuo mashuhuri cha sanaa nchini – ghafla akaondoa tabasamu hilo wakati alipokuwa nyuma ya jukwaa.
Kanye West akikabidhiwa shahada yake ya udaktari akiwa kakunja uso
Kanye West akikabidhiwa shahada yake ya udaktari akiwa kakunja uso
Ulikuwa wakati mzuri kwa Kanye, ambaye marehemu mama yake Dr. Donda West alikuwa Profesa wa Kiingereza kwenye Chuo Kikuu cha Clark Atlanta, baada akawa Mwenyekiti wa Idara ya Kiingereza kwenye Chuo Kikuu cha Chicago.
Kama kawaida yake, kununa ndio jadi ya Kanye
Kama kawaida yake, kununa ndio jadi ya Kanye
Kwa sasa anajulikana kama Dr. West, Kanye alianza hotuba yake kwa kusema: “Mimi ni msanii wa watu, hivyo lugha yangu ni maoni ya umma, na ulimwengu ndio jukwaa langu.”
Kanye akiwa na marehemu mama yake Donda,ambaye alifariki baadae mwaka huuo akiwa na miaka 58
Kanye akiwa na marehemu mama yake Donda, ambaye alifariki baadae mwaka huo akiwa na miaka 58.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.