Skip to main content

Chuck Blazer atumiwa kwa kufichua kashfa za rushwa FIFA Chuck Blazer alikuwa mjumbe wa kamati tendaji ya FIFA wakati alikuwa akifanya udukuzuzi kwa niaba ya FBI katika Shirikisho la Soka Dunia Fifa kwa kipindi cha miaka miwili.

Chuck Blazer alikuwa mjumbe wa kamati tendaji ya FIFA wakati alikuwa akifanya udukuzuzi kwa niaba ya FBI katika Shirikisho la Soka Dunia Fifa kwa kipindi cha miaka miwili.
Chuck Blazer alikuwa mjumbe wa kamati tendaji ya FIFA wakati alikuwa akifanya udukuzuzi kwa niaba ya FBI katika Shirikisho la Soka Dunia Fifa kwa kipindi cha miaka miwili.
Na RFI
Kashfa za rushwa zinazoelezwa kwa kiasi kikubwa katika Shirikisho la Kandanda Duniani FIFA, ziliyotolewa Jumatano asubuhi wiki hii baada ya kukamatwa kwa maofisa saba wa Shirikisho hilo, ni za muda mrefu.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, yote yalianza mwaka 2011, wakati Idara ya uchunguzi ya Marekani (FBI) ilifaulu kumshawishi Chuck Blazer kuwa afisa wake wa ujasusi. Chuck Blazer alikuwa mwanachama wa kamati tendaji ya FIFA tangu mwaka 1998 hadi mwaka 2013. Chuck Blazer alilitumikia Shirikisho la Concacaf, ambalo ni sawa ni Shirikisho la Soka Duniani FIFA.
Chuck Blazer alikuwa akifanya udukuzi kwa niaba ya FBI katika Shirikisho la Soka Dunia FIFA kwa kipindi cha miaka miwili. Alikubali kuwafanyia kazi viongozi wa Marekani baada ya kugunduliwa na mamlaka ya kodi kwa kushindwa kulipa kodi kwa mamilioni ya fedha aliyopitisha mlango wa nyuma kwa kipindi cha miaka ishirini na moja akiwa kama Katibu mkuu mtendaji wa Concacaf, ambalo ni Shirikisho la Soka la Amerika ya Kaskazini, Amerika ya Kati na Caribbean.
Kati ya mwaka 2011 na 2013, wakati alikua bado mjumbe wa kamati tendaji ya FIFA, Chuck Blazer alikua akibebelea chombo kidogo cha kurekodi sauti ambaco alikua akikificha kwenye funguo zake gari. Chuck Blazer alirekodi mazungumzo zaidi ya mia moja, ambayo yote yaliwekwa kwenye faili iliyofunguliwa na Mwendesha mashtaka wa wilaya ya Mashariki ya New York, Loretta Lynch, ambaye ni waziri wa sheria wa Marekani tangu Aprili 27.
Kwa sasa, maofisa tisa wa FIFA waliochaguliwa pamoja na wadau watano wa uongozi wa soka wameshtakiwa rasmi kwa tuhuma za kashfa ya rushwa, hasa kuhusiana na utoaji wa Kombe za Dunia, haki za masoko na televisheni. Jambo ambalo limezua hali ya sintofahamu, kwani Ijumaa wiki hii kutafanyika uchaguzi wa rais wa Shirikisho la Soka Duniani FIFA. Uchaguzi utafanyika wakati ambapo rais wa sasa wa FIFA, Sepp Blatter, raia wa Uswisi anayemaliza muda wake, ambaye amekua akikosolewa mno, anatazamiwa kuwania muhula wa tano. Shirikisho la Soka barani Ulaya UEFA limeomba uchaguzi huu uahirishwe.




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.