Skip to main content

Mkede sasa Full Kupagawa na Usajili wa Msimbazi


Kiungo mahiri wa Simba, Jonas Mkude amesema kuwa ujio wa kiungo Peter Mwalyanzi katika kikosi chao ni bab’kubwa na kuwatambia wapinzani wao akisema mbona mtatukoma!
Mkude alisema ujio wa Mwalyanzi utatengeneza Simba mpya ambayo haitakuwa rahisi kuzuilika sambamba na kuifanya iwe inacheza soka la kuvutia litakalokuwa likitoa matokeo mazuri kwao.
Mwalyanzi amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Simba akitokea Mbeya City na moja kwa moja ameingia kwenye idara ya kiungo ya Simba iliyokuwa inatawaliwa na Jonas Mkude.
Mkude ameliambia mwanaspoti akisema: “Huyo jamaa (Peter Mwalyanzi) ni mmoja wa viungo mafundi, ninawakubali sana, si kwa kukimbia bali upigaji wa pasi na umiliki wa mpira.
“Nimeshacheza dhidi yake akiwa Mbeya City kama mara tatu, acha kabisa, mziki wake si mchezo. Kwa kweli ninawapongeza viongozi kwa kutuletea bonge la mchezeshaji. “Sasa Simba itakuwa ni mwendo wa kupiga pasi nyingi, kupiga bao na kutwaa ubingwa. Naamini leo hii anakuja kuongeza nguvu kubwa kwenye kikosi chetu, sisi wachezaji tunampokea kwa mikono miwili na tutampa ushirikiano wa kutosha. Mwalyanzi karibu Simba,” alisema Mkude nahodha msaidizi.
Mwalyanzi alitua Simba juzi na kusaini mkataba wa miaka miwili, akiwa ndiye mchezaji wa kwanza kusainishwa Msimbazi nje ya wachezaji walioongezewa mkataba wa klabu hiyo iliyoshika nafasi ya tatu baada ya msimu uliopita kukamata nafasi ya nne.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...