Skip to main content

NMB WAMSAIDIA MBOWE KWA WAHANGA WA MAFURIKO HAI


Msaada mwingine uliotolewa ulikuwa ni wa Blankets.
Meneja wa Benki ya NMB kanda ya kaskazini Vicky Bishubo akizungumza wakati wa kukabidhi msaada wa kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni ukanda wa chini wilayani Hai.
Msaada wa magodoro uliotolewa na Benki ya NMB kwa waathirika wa mafuriko yaliyotkea hivi karibuni wilayani Hai.
Meneaja wa NMB kanda ya kasakazini Vicky Bishubo akikabidhi msaada kwa mkuu wa wilya ya Hai,Anthony Mtaka huku zoezi hilo likishuhudiwa na mbunge wa jimbo hilo Freeman Mbowe.
DC Mtaka,Mbunge Mbowe na Meneaja wa NMB ,Bishubo wakifurahia msaada huo.
Chakula pia kilitolewa kwa wahnga hao.
Meneaja wa NMB,Vicky Bishubo akiwa na wahanga wa mafuriko .
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Benki ya NMB imetoa msaada  wa kibinadamu wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 baada ya kutembelea  eneo la tukio na kujionea athari kubwa zilizosababishwa na mafuriko hayo.

Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini, Vicky Bishubo,alitoa pole kwa familia zilizofikwa na kadhia hiyo huku akisema NMB imeguswa na tukio hilo na kwamba inatoa msaada katika maeneo matatu.

Alisema eneo la kwanza la msaada ni chakula ambapo imetoa unga kilo 
2,000,Maharage Kilo 500,Sukari Kilo 500 na mafuta ya kula lita 1,000.

Eneo jingine ni eneo la malazi ambapo yametolewa Magondoro 70,Mablangeti 100,pamoja na marobota ya nguo huku pia Benki hiyo ikichangia mifuko 50 ya Sementi kwa ajili ya ukarabati wa shule ya msingi Elerai iliyofikwa pia na mafuriko.

“Tumesikitishwa na majanga yaliowakuta,NMB tumekuwa na desturi ya kurudisha faida yetu katika jamii kwa kusaidia majanga mbalimbali hivyo tumetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 10”alisema Bishubo

Nao baadhi ya wahanga wa mafuriko hayo waliishukuru NMB kwa msaada huo na kutoa rai kwa watu,mashirika na taasisi mbalimbali zilizo za kiserikali na zisizo za serikali kuona umuhimu wa kuendelea kutoa misaada mbalimbali ya kibinadamu kutoka na adhari ziliwakumba.

CREDIT--MICHUZ BLOG

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.