Skip to main content

WATOTO WANAOSHI MAZINGIRA MAGUMU WAMWELEZA MATATIZO YAO MH MUSSA AZZANI ZUNGU LEO MCHANA

(PICHANI ) aliyevalia flana ni Mh Mbunge wa Ilala Mssa Azzani Zungu katikati na wakwanza kulia ni Zahir Baba leo katika mazungmzo na watoto waishio katika mazingira magumu hapa ni
viwanja vya Posta Mpya Dar es Salaam.

UMOJA WA WATOTO TUNAOISHI KATIKA MAZINGRA MAGUMU (MITAANI)

Mh mgeni rasmi Mussa Azzani Zungu wageni waarikwa wote mliofika hapa hii leo wote tunawakaribisha lakini pia ni furaha kwetu kuwaona mmefika hapa , siku hii ya leo,
kwa kweli mnaitaji pongezi za pekee siku hii ya leo.

Mh mgeni rasmi katika umoja huu kuna watoto na vijana ambao wote tunaishi maisha ya kubahatisha kutokana na kukosa mahitaji muhimu kama vile chakula makazi na elimu kwa binadamu.


Tumeamua kuunda umoja ili tuweze kuomba msaada na tusaidiwe ilikuondokana na maisha haya mabaya.

Maelezo Yetu :

Mh mgeni rasmi sisi tumetoka sehemu mbalimbali ndani ya tanzania .
Sababu zilizotufanya kuondoka majumbani mwetu ni nyingi lakini moja ya sababu hizo ni ugomvi wa wazazi , umaskini , kufiwa na wazazi kutelekezwa na ndugu.

Mh mgeni rasmi watoto ukimbia majumbani baada ya kuona hali imekuwa mbaya hukimbilia mijini kwa kujua kwamba wanaweza kusaidiwa na jamii.Mh mgeni rasmi watoto wengi hawana elimu hata ya shule ya msingi na wengine wameshindwa kumaliza baada ya kutokewa na matatizo kama haya niliyosema.

Maranyingi wazazi wanapogombana baba au mama , mzazi mmoja wapo anakimbia familia baadaye mtoto anajikuta anaishi na baba wa kambo au mama wa kambo hii nayo uchangia sana watoto kupata mateso na shida kubwa katika maisha haya.

Vile vile mtoto anapofiwa na mzazi mmoja mfano baba katika familia maskini , mama ushindwa kulea familia.

Lakini vile vile mtoto anapofiwa na wazazi wote yaani baba na mama, mtoto ukaa na famila na mara nyingi familia umtelekeza mtoto na kuonekana hana maana tena
Hii ni moja ya sababu ya watoto kujikuta wanaishi maisha haya.

DHUMUNI LA MKUTANO HUU

Mh mgeni rasmi baada ya kuona tunaishi mitaani tu , bila mafaniki yoyote kwetu na Taifa letu na sisi tukiwa kama watanzania tumeona tujitokeze mbeleyenu ilimtusaidie tuweze kujiendeleza kimaisha .

Mh mgeni rasmi sisi bado ni nguvu kazi tunajua kuwa kwamba tunadeni kubwa kwetu na Taifa letu la Tanzania hivyo kuendelea kuishi mitaani ni kupoteza muelekeo wetu.

Mh mgeni rasmi kwa sasa tulikuwa tunaomba tupatiwe sehemu maalum kwa ajili ya makazi hata ya muda kwanza lakini pia , tupatiwe utaratibu wa kupata elemu hata ya shule ya msingi . Tumechoka kuendelea kulala nje na kuonekana kero katika jamii.

Lakini pia kumuomba mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndu Jakaya Mrisho Kikwete kutafuta njia mbadala wa kumaliza tatizo hili la watoto kama sisi endapo tutapata malezi bora tunaweza kusoma elimu ya msingi na hata chuo , pia tukiwezesghwa kupata elimu hata ya Ufundi Stadi .

Tunaweza kujiajili sisi wenyewe ila kwa sasa tunaomba kwenu mkiwa kama wazazi tupatiwe nyumba ya kulala hata ya muda hili tunapo zunguka tujuwe tunalala wapi .

CHANGA MOTO TUNAZO PATA

Mh mgeni rasmi kunachanga moto nyingi tunazo pata katika maisha haya lakini moja ya changamoto hizo ni ukosefu wa chakula , maranyingi watoto ula mabaki ya chakula cha mahotelini au makoko .

Watoto ulala nje bila shuka wala godolo na kupelekea kuugua mangonjwa mbali mbali kama vile maralia. Mh mgeni rasmi kunachangamoto nyingi sana kwani hata tunapokwenda kwenye vituo vya kulelea watoto hatupati nafasi za kukaa kutokana na kudai kuwa hawana nafasi pia inapotokea mtoto anaumwa atuna msaada wowote kituambacho upelekea watoto kufa ovyo bila msaada wowote.

MAFANIKIO


Mh mgeni rasmi mafanikio tuliyoyapata tangu kujumuika kwetu ni pamoja na kusikilizana sisi kwa sisi kuwaelimusha wenzetu kuachana na madawa ya kulevya kwa wale wanaotumia lakini pia , kuweza kukupata wewe mh mgeni rasmi na wageni wengine waalikwa hiinayoni mafanikio kwetu.


SHUKRANI

Mh mgeni rasmi kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyezi mungu kuweza kutukutanisha hapa leo hii tena kwani bila yeye yote ni bure lakini pia tunawashukuru wote mliofika hapa leo hii bila kutuzadharau .

Napenda kuku shukuru wewe Mh mgeni rasm pia napenda kukushukuru Ndugu Dr kafumu na Ndugu Zahir Baba kwa ushirikiano wenu mzuri mungu atawalipa endeleeni
na moyo huu wa upendo .




HITIMISHO

Mh mgeni rasmi pamoja na maelekezo yote haya ni vyema mkajua kuwa sisi mpaka sasa tupo katika wakati mgumu endapo kunatokea tatizo hata la mtoto kuumwa akuna sehemu, tunayojua kuwa tutaenda kusaidiwa.

Mh mgeni rasmi hata ofisi hatuna ya kusema tuwe tunakutana tumekuwa tukilala nje siku zote hivyo mvua zetu na jua letu mpaka lini nduguzanguni.?

Tumechoka kuonekana kero katika jamii ,tumechoka kuonekana kwenye mataa ya magari ambapo tunaenda kuomba misaada kwa ajili ya matumizi ya chakula tunataka kukaa sehemu moja ilitusome kwa faida yetu na taifa letu.

Tunaomba sana tusaidiwe hata nyumba moja kubwa tukapangishiwa hitakuwa vizuri sana, kwani watoto wadogo wa miaka tisa na kuendelea kulala nje kuna tuathili sana afya zetu lakini pia tunaomba msaada wa chakula walau mlommoja kwa siku katika kipindi hiki kigumu cha sasa.

Asanteni sana kuweza kunisikiliza kwa lisala yetu hii kama kuna mapungufu mtatusamehe lakini ni imani yetu tuta kuwa tumeeleweka mungu wabariki wote waliofika hapa siku hii ya leo.

KAULI MBIU MTOTO WA MWENZIO NI MTOTO WAKO MPENDE NA MTHAMINI .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.