Skip to main content

LUTENI KALAMA AJITOA RASIMI WANAUME HALISI

JANA usiku wa saa moja , nilipigiwa simu na Luteni Kalama akiwa maeneo ya Vaticani Sinza Dar es Salaam
nilipofika jamaa tulichonga mambo mengi tu .
Neno la kwanza alisema nimekuita Francis Machibya kukueleza kuwa nimejitoa kundini , nilipatwa na mshangao na ndipo topiki zikazungumzwa za yeye kujitoa kundini, 'naanza kusaka mafanikio mapya nikiwa nimejitioa katika kundi la Wanaume Halisi nimefikia uhamuzi huo mimi na mdogowangu 'Malipo' wote kwa pamoja hatuko katika kundi hilo.

Mimi Machibya nilikumbuka kauli ya AY alivyoniita miaka ya nyuma sasa nyumbani kwake kijitonyama na kuwakuta wasanii wenzake mmoja wapo akiwa Sinare ambao wote usanii wao walianza nao wakiwa Sekondari ya Ifunda , katika maongezi gafla Ay aliingiza topiki ya kutoingiza sokoni albamu kwa kuwapelekea wadosi.

Ambapo Sinare na Buf -G walisababisha nikatoka usiku ambapo Sinare kwa pampja walinileta mpaka Msasani Namanga.

Kwa kile walichokuwa wakikipinga kususia kwa Ay soko la muziki kwa ajili ya wadosi wanaopelekewa albamu za wasanii kutoa ujira mdogo na kibuli cha Ay kilisikika kwa kishindo ni msanii wa kwanza kuwatosa wadosi .
Nilitoka na kuandika katika Gazeti moja atiko yake na siku si nyingi atiko kuhusu hiyo inshu zilimwagika kama mvua.
kweli wadisi waliziona kwani Ay juzi tu aliniambia alishafuatwa na wadosi kulekebishwa maswala yake na bidhaa zinaingia sokoni kweli maisha ubishi bishana.
Kalama amefika uamuzi wake huo akieleza blog hii kuwa tayari wameisha anza kujikita kivyao akiwa na mdogowake Malipo .
Natayari wamefanya traki kadhaa katika miji ya Dar na Mombasa


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.