Skip to main content

EBWANA MCHABO DJ HUYU.

DJ huyo ameteka jiji la Dar katika kijimuda cha jionio jua kuzama anatwanga mangoma ya kweli kiasi sasa ukusogea maeneo ya maduka utasikia makamuzi yake kupitia redio za madukani uswahilini na kwingineko kipindi chake kinaitwa Bongo Dot Home  kupitia mawimbi ya Redio Times Fm , ni mtu wangu wa karibu sana sio ,  nilikuwa namuona mara kwa mara nikiwa nasoma Shule ya Msingi Nyakabungo ,Shule iliyokaribu na Mlima wa Machemba jijini Mwanza  alikuwa akifika kwa king Kif Nigga ndipo nilipo mfahamu kabisa .

Walikuwa wakiwasiliana katika stori za michongo na mara kwa mara Juce aliwahi kupiga Chake chake disko ilatu  nihabari njema kwao na jamaa ni mababu kubwa wa U dj ilembaya kaka ake kwa sasa ni moja wa viongozi wa redio Times FM na pia mble Ulaya anakaka ake aitwaye Dj Habib ambaye moto wake utaweza kuukumbuka katika lile disko liliofahamika kwa jina la Power Four ....
na kubamba jiji zima kwa mtikisiko wa kufa mtu.
kabla ya kutambaa mbeleee.
Miaka hiyo naanza kumfahamu stali za kuimba yaani kuchana ma mc wengi walikuwa wanabomoka Lugha Kigeni hata mayank waliopenda michano mkuuu sikudanganyi walikuwa hawana dalasa kubwa la kisomo
lakini jukwaa lilitawaliwa kwa ngeli na hata vijiweni watu walikuwa wakiongea ngeli.

Namkumbuka kaka Adamu Engneer alikuwa akisoma Pale Lake Sekondari ni kati ya wachache nilio wafahamu , alijiachia sana na watotozzz na lilikuwa ngeli linashushwa mkuu ngeli watoto wa kitaa walikuwa wanatambaa nalo kama hujui sasa ulikuwa utaimba niii.

Hapa sasa Dj Juice anazungumza na Dar kila leo , hii ndio maana ya kuwa mkali katika anga ukoo babu kubwa katika mipango hiyo na mara kibao tu Juice uanza bila ya kuwa na papala anatwanga miziki ya kale Hip Hop ,Zouk , Boringo, ni madj wachache sana wanaoweza kutambaa na nyimbo zoteeeee.

(Pichani) hapo ni eneo la Times FM ilikuwa mchana na likuwa napiga naye sitori uku gari la kaka yake Aman Missana likiwa kwenye maegesho ya redio hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.