Skip to main content

LEO MSHINDI WA Tigo Bwerere AIBIKA NA ZAWADI JIJINI DAR ES SALAAM


MMENEJA Promosheni wa Tigo Redemptus Masanja (Kushoto) akimkabidhi kitita cha Milioni moja Bwana Imani Kayange wa Kiwalani Rumo kama zawadi yake ya Tigo Bwerere leo jijini Dar es Salaam katikati ni meneja uhusiano Jackson Mmbando akitazama Inshu hiyo.
Tigo leo imekabidhi zawadi kwa washindi wa promosheni ya Tigo bwerere iliyoanza mapema January 2010



Akizungumza na waandishi wa habari Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando kasema Tigo bwerere inaendelea kufurahisha na kuwatimizia baadhi ya watanzania malengo yao kimaisha kwa kuwapatia zawadi bwerere na zenye manufaa kwao



Leo tunakabidhi zawadi kwa washindi wawili wote wa mkoa wa dar es salaam ambao ni Mariana Amos mkazi wa Gongolamboto, Imani Kayange mkazi wa Kiwalani Rumo



Promosheni hii ya Zawadi BWERERE inatoa nafasi kwa kila mteja wa Tigo



Kama unabisha au hauamini jaribu kushiriki sasa na utahakikisha mwenyewe kuwa ukiwa na Tigo kushinda ni lazima!



Kama unataka zawadi kabambe kupitia promosheni ya Tigo ZAWADI BWERERE sasa tuma neno BWERERE kwenda 15570 ujipatie zawadi yako sasaivi



Kila SMS unayotuma lazima utapata zawadi mojawapo kati ya zifuatazo.



Pesa taslim shilingi milioni moja muda wa maongezi bwerere dakika 3, 5 au 10 (kuongea simu za Tigo kwenda Tigo) au MS za bure 5



Gharama ya kila SMS ni sh 360 tu. mteja anaweza akashiriki maranyingi awezavyo ili kujipatia zawadi nyingi zaidi.



Pia tunaendelea kuwakumbusha wateja kushiriki promosheni zetu nyingine mfano ile ya wapenda soka (SHANGWE KISPOTI), sasa unaweza kuibuka mshindi wa jezi mpya ya timu uipendayo



unaweza akajishindia jezi ya Manchester Utd, Chelsea, Arsenal au Liverpool? yenye jina utakalo na namba utakayochagua mwenyewe



Ili kushiriki na ushinde tuma neno JEZI kwenda 15519 kisha utapata maelekezo ya kujichagulia timu unayotaka kujibu maswali yake. kila unapojibu swali kwa kwa usahihi ndio unapata point na ukifikisha point 6000 unaibuka mshindi wa JEZI ORIGINAL ya timu uipendayo.



Gharama ya kila SMS utakayorudisha jubu ni shilingi 200 tu.



© Michuzi
Wednesday, February 17, 2010
Permalink
Mtumie Rafiki Yako
Maoni 0

msaada kwenye tuta: kilimo kwanza

AGRICULTURE FIRST

WE ARE BUYING MORINGA OLEIFERA TREE SEEDS (MLONGE) ABOUT MORINGA: TROPICAL MULTIPURPOSE TREE, GROWS VERY FAST YIELDING IN ITS FIRST YEAR AND MATURING AFTER FOUR YEARS AND IT HAS AN ECONOMIC LIFE OF 15 YEARS.

IT PRODUCES SEEDS THAT ARE USED TO PRODUCE MORINGA OIL WHICH CAN BE USED AS COOKING OIL AS WELL AS VIABLE INGREDIENT IN THE PRODUCTION OF PESONAL CARE PRODUCTS.

THE SEEDS CAKE, A BY PRODUCT OF OIL EXTRACTION IS USEFUL AS FERTILIZER, BIO FUEL, WATER TREATMENT AS WELL AS ANIMAL FEED. THE LEAVES WHICH CONTAINS A VERY HIGH NUTRITIONAL VALUE ARE EDIBLE RAW AS WELL AS COOKED VEGETABLE .

INTERESTED SELLERS CALL

+255 754 /715 272065

FOR MORE INFORMATION ON VALUES AND PRODUCTS OF MORINGA GOOGLE MORINGATREE

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.