Skip to main content

ONESHO LA MAVAZI LA LADY I N RED SASA KIVUMBI CHAKE NI KESHO

Onesho kabambe la mavazi   Mavazi la Lady in Red kutoka Fabak Fashions laja ,Asia Idarous kati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo asubuhi ndani ya hoteli ya Regency Park, kuhusiana na onesho hilo ambalo limepangwa kufanyika kesho jumamosi  Februari 6 kwenye hoteli ya Kilimanjaro Kempiski Hotel,ambapo kiingilio kimepangwa kuwa ni sh 20,000/= kwa kila kichwa.Kulia ni Mmoja wa wabunifu mahiri hapa bongo Ally Rhemtullah,Muwakilishi wa kampuni ya Darling Julius Ngatunga na shoto ni Muwakilishi kutoka New Habari House Peter Mwendapole.

Asia amesema kuwa katika onesho hilo kutakuwepo na burudani kabambe kutoka bendi ya Machozi Bang ikiongowa na Lady Jay D pamoja na kikundi cha ngoma za asili Simba Traditional Dance,aidha pia wabunifu 16 mahiri wataonyesha ubunifu wao wa mavazi ambao ni Faruk Abdella,Manju Msita,Khadija Mwanamboka,Ally Rhemtullah,Mustafa Hasanali,Zamda George,Jamila Swai,Gymkana,Farha Sultan,Baraka,Fransisca,Bianca,Hiari,Joice,Salim Ali na Martin Kadinda.

Aidha Mwaandaji huyo ameongeza kuwa katika mchakato huo pia kutakuwepo na tuzo ta mbunifu bora wa mwaka 2010,tuzo ya Miss Beauty with purpose.

Kama vile haitoshi kutakuwepo na mnada kwa ajili ya kusaidia/changia watoto yatima wa Mitindo House pamoja.

Onyesho hilo limedhaminiwa na Darling Hair,Redd's,Utrack Total Control,Valye Spring,BenchMark Production,Sofia Produtcions,Michuzi Blog,Kitangoma Magazine,Zizzou Fashions,Jiachie Blog,8020 Blog,Kitangoma Magazine,Clouds Fm na wengineo kibao.

Posted by kingkif at 3:54 PM 0 comments

Zanzibar International Film Festival (ZIFF) - 2010.



ZIFF 2010-HOPES IN HARMONY-CALL FOR ENTRIES





Zanzibar International Film Festival (ZIFF) - 2010.





Tamasha la 13 la Nchi za Majahazi linapenda kuwangazia wadau wote wa filamu nchini kuwa milango iko wazi kwa wao kuwasilisha filamu zao kwa uchaguzi wa kuoneshwa katika Tamasha la ZIFF.





Filamu zipokewazo ni Short, Feature, Documentaries na AnimationWadau tumeni Filamu zenu kabla ya 31 March, 2010.





Hii ni kwa filamu zilizotengenezwa kuanzia mwaka 2008 mpaka 2010

Fomu zinapatikana katika

www.ziff.or.tz

Tuma filamu yako sasa!



Kwa maelezo Zaidi wasiliana na Daniel Nyalusi

Events and Film Program Coordinator

Zanzibar International Film Festival

filmdept@ziff.or.tz

+255 655 940094

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.