Skip to main content

ONESHO LA MAVAZI LA LADY I N RED SASA KIVUMBI CHAKE NI KESHO

Onesho kabambe la mavazi   Mavazi la Lady in Red kutoka Fabak Fashions laja ,Asia Idarous kati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo asubuhi ndani ya hoteli ya Regency Park, kuhusiana na onesho hilo ambalo limepangwa kufanyika kesho jumamosi  Februari 6 kwenye hoteli ya Kilimanjaro Kempiski Hotel,ambapo kiingilio kimepangwa kuwa ni sh 20,000/= kwa kila kichwa.Kulia ni Mmoja wa wabunifu mahiri hapa bongo Ally Rhemtullah,Muwakilishi wa kampuni ya Darling Julius Ngatunga na shoto ni Muwakilishi kutoka New Habari House Peter Mwendapole.

Asia amesema kuwa katika onesho hilo kutakuwepo na burudani kabambe kutoka bendi ya Machozi Bang ikiongowa na Lady Jay D pamoja na kikundi cha ngoma za asili Simba Traditional Dance,aidha pia wabunifu 16 mahiri wataonyesha ubunifu wao wa mavazi ambao ni Faruk Abdella,Manju Msita,Khadija Mwanamboka,Ally Rhemtullah,Mustafa Hasanali,Zamda George,Jamila Swai,Gymkana,Farha Sultan,Baraka,Fransisca,Bianca,Hiari,Joice,Salim Ali na Martin Kadinda.

Aidha Mwaandaji huyo ameongeza kuwa katika mchakato huo pia kutakuwepo na tuzo ta mbunifu bora wa mwaka 2010,tuzo ya Miss Beauty with purpose.

Kama vile haitoshi kutakuwepo na mnada kwa ajili ya kusaidia/changia watoto yatima wa Mitindo House pamoja.

Onyesho hilo limedhaminiwa na Darling Hair,Redd's,Utrack Total Control,Valye Spring,BenchMark Production,Sofia Produtcions,Michuzi Blog,Kitangoma Magazine,Zizzou Fashions,Jiachie Blog,8020 Blog,Kitangoma Magazine,Clouds Fm na wengineo kibao.

Posted by kingkif at 3:54 PM 0 comments

Zanzibar International Film Festival (ZIFF) - 2010.



ZIFF 2010-HOPES IN HARMONY-CALL FOR ENTRIES





Zanzibar International Film Festival (ZIFF) - 2010.





Tamasha la 13 la Nchi za Majahazi linapenda kuwangazia wadau wote wa filamu nchini kuwa milango iko wazi kwa wao kuwasilisha filamu zao kwa uchaguzi wa kuoneshwa katika Tamasha la ZIFF.





Filamu zipokewazo ni Short, Feature, Documentaries na AnimationWadau tumeni Filamu zenu kabla ya 31 March, 2010.





Hii ni kwa filamu zilizotengenezwa kuanzia mwaka 2008 mpaka 2010

Fomu zinapatikana katika

www.ziff.or.tz

Tuma filamu yako sasa!



Kwa maelezo Zaidi wasiliana na Daniel Nyalusi

Events and Film Program Coordinator

Zanzibar International Film Festival

filmdept@ziff.or.tz

+255 655 940094

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...