Skip to main content

Shamba la Bibi latua na Stahili za Ngosha Mosha na Mbasha Wasome Wameahaishwa vipi !!!


Ni kava la kitabu kipya cha katuni kilichochorwa na Bashir Adams
'Mors'. Kimetolewa na kusambazwa na Bantu Entertainment Ltd. chini ya
mkurugenzi wake Marco Tibasima. Kitapatikana mitaani kuanzia Jumatatu
tarehe 2 Agosti, 2010 kwa bei ya tsh. 3000/- tu. Kwa maelezo zaidi jinsi
ya kukipata 0765927833.


Marco Tibasima
Artist/Graphic Designer
PO Box 9974
Dar es Salaam, Tanzania
tel: +255 754 308221 (in Tanzania)
tel: +256 756 417507 (in Uganda)
webpage: www.raisingvoices.org/marco.php

Wasifu wa Mchoraji wa Shamba la Pesa
Bashir Adams a.k.a Mors alizaliwa mwaka 1985 huko Ngarenaro, jijini
Arusha. Alianza elimu ya msingi Ngarenaro Shule ya Msingi Mwaka 1994 hadi
mwaka 2000. Elimu ya sekondari alisoma Kaloleni Shule ya Sekondari kuanzia
mwaka 2001 hadi 2003, kisha akamalizia Temboni Shule ya Sekondari ya
jijini Dar es Salaam mnamo mwaka 2005.

Alianza kupenda uchoraji alipokuwa na miaka minne tu baada ya kumwona
kijana mmoja wa rika lake waliyeishi naye mtaa mmoja aliyeitwa Yassini
akichora picha mbalimbali zilizomvutia. Pia alipata hamasa kutoka kwa dada
yake aitwaye Hidaya Adams ambaye Bashir anakiri alikuwa akichora picha
ambazo zilimpa hamu ya yeye kujifunza pia. Bashir aliweza kwa nyakati
tofauti kuwakilisha shule yake ya Ngarenaro kwenye mashindano mbalimbali
ya uchoraji Mkoani Arusha na kushinda zawadi kadhaa.

Kazi zake zilianza kuonekana rasmi kwenye jarida la Bantu mwaka 2007 na
baadaye gazeti la Ambha.

SHAMBA LA PESA ni kitabu chake cha kwanza na anatarajia kuendelea kutoa
mfululizo wa mikasa hii ya Ngosha, Mosha na Mbasha.

Hakusita kuwashukuru wafuatao katika safari yake ya kufikia mafanikio haya
ambao ni: Marco Tibasima wa Bantu Entertainment Ltd, Nicolaus Munga
‘Nicoman’ wa Arusha, Karim Swago ‘Kakakeri’, Abubakary Mustapha ‘Mandelaa’
na Abedi K. Kimolo wa Ngarenaro, Arusha na Francis John wa Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam.

Anapatikana kwa simu: 0754 546964 / 0658 546964.
Baruapepe: mossadam@yahoo.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.