Skip to main content

Shamba la Bibi latua na Stahili za Ngosha Mosha na Mbasha Wasome Wameahaishwa vipi !!!


Ni kava la kitabu kipya cha katuni kilichochorwa na Bashir Adams
'Mors'. Kimetolewa na kusambazwa na Bantu Entertainment Ltd. chini ya
mkurugenzi wake Marco Tibasima. Kitapatikana mitaani kuanzia Jumatatu
tarehe 2 Agosti, 2010 kwa bei ya tsh. 3000/- tu. Kwa maelezo zaidi jinsi
ya kukipata 0765927833.


Marco Tibasima
Artist/Graphic Designer
PO Box 9974
Dar es Salaam, Tanzania
tel: +255 754 308221 (in Tanzania)
tel: +256 756 417507 (in Uganda)
webpage: www.raisingvoices.org/marco.php

Wasifu wa Mchoraji wa Shamba la Pesa
Bashir Adams a.k.a Mors alizaliwa mwaka 1985 huko Ngarenaro, jijini
Arusha. Alianza elimu ya msingi Ngarenaro Shule ya Msingi Mwaka 1994 hadi
mwaka 2000. Elimu ya sekondari alisoma Kaloleni Shule ya Sekondari kuanzia
mwaka 2001 hadi 2003, kisha akamalizia Temboni Shule ya Sekondari ya
jijini Dar es Salaam mnamo mwaka 2005.

Alianza kupenda uchoraji alipokuwa na miaka minne tu baada ya kumwona
kijana mmoja wa rika lake waliyeishi naye mtaa mmoja aliyeitwa Yassini
akichora picha mbalimbali zilizomvutia. Pia alipata hamasa kutoka kwa dada
yake aitwaye Hidaya Adams ambaye Bashir anakiri alikuwa akichora picha
ambazo zilimpa hamu ya yeye kujifunza pia. Bashir aliweza kwa nyakati
tofauti kuwakilisha shule yake ya Ngarenaro kwenye mashindano mbalimbali
ya uchoraji Mkoani Arusha na kushinda zawadi kadhaa.

Kazi zake zilianza kuonekana rasmi kwenye jarida la Bantu mwaka 2007 na
baadaye gazeti la Ambha.

SHAMBA LA PESA ni kitabu chake cha kwanza na anatarajia kuendelea kutoa
mfululizo wa mikasa hii ya Ngosha, Mosha na Mbasha.

Hakusita kuwashukuru wafuatao katika safari yake ya kufikia mafanikio haya
ambao ni: Marco Tibasima wa Bantu Entertainment Ltd, Nicolaus Munga
‘Nicoman’ wa Arusha, Karim Swago ‘Kakakeri’, Abubakary Mustapha ‘Mandelaa’
na Abedi K. Kimolo wa Ngarenaro, Arusha na Francis John wa Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam.

Anapatikana kwa simu: 0754 546964 / 0658 546964.
Baruapepe: mossadam@yahoo.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...