Skip to main content

Polisi Nchini Wajipanga Vizuri Kwa Uchaguzi Mkuu


Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi



Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa limeandaa mazingira mazuri yatakayomuwezesha kila Mtanzania mwenye haki ya kupiga kura anafanya hivyo kwa uhuru, usalama na amani.


Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Hudunma za Polisi Jamii nchini Naibu Kamishna wa Polisi DCP Isaya Mngulu. wakati akizungumza na Wanafunzi na Wakufunzi wa Tanzania Polisi Academy Kurasini Jijini Dar es salaam.


Amesema kuwa Jeshi hilo limetoa kitabu kwa ajili ya kusaidia kutoa elimu kwa askari na wananchi juu ya wajibu wa kila mmoja kwa upande wake wakati wa kampeni na uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.


Amesema tayari Jeshi la Polisi limechapichasha nakala 30,000 za kitabu kijulikanacho kama haki na wajibu wa mpigakura ambapo kimeelezea pia wajibu wa Askari Polisi wakati wa mchakato wa kampeni, kupiga kura, kuhesabu na kutangaza matokeo.


DCP Mngulu amesema kuwa kwa kushirikiana na UNDP Jeshi hilo litahakikisha kuwa vitabu hivyo vinasambazwa na elimu kutolewa kwa kila mpigakura kwa njia ya mikutano na kuvigawa kwa mtu moja moja.


Aidha DCP Mngulu pia amesema kuwa Jeshi la Polisi litasambaza askari wawili wawili kwenye kila kata hapa nchini na kwamba vituo vya Polisi vilivyopo kwenye tarafa sasa vitaongozwa na askari wenye vyeo vya kuanzia Inspekta badala ya Sajenti na Sajinimeja.


Naye Mkuu wa Nidhamu wa Tanzania Police Academy SP Loydi Mussa, amesema kuwa askari wanaohudhuria mafunzo kwenye chuo hicho wanajengewa uwezo wa kukabiliana na matukio makubwa ikiwa ni pamoja na migomo mbalimbali.


DCP Mngulu ambaye pia ametembelea na kuona hali mbaya ya baadhi ya nyumba za za Wakufunzi wa Tanzania Police Academy, ameelezwa kuwa chuo hicho kina uhaba mkubwa wa makazi na kwamba baadhi yao wanaishi kwenye magofu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...