Skip to main content

Club Billicanas Jana Usiku Chekishia Mambo Yake

EEE heka heka za muda Daudi sambamba na ukali unaoonekana kumzunguka jana usiku Club Billz.

WANENGUAJI wa Twanga wakiwa ndani ya eneo moja la uficho ukumbini katika jengo la Club Billiz.

MIE Machibya wakwanza na katikati ni Msafiri Diof ambaye ni muimbaji maarufu wa bendi ya Twanga Pepeta na wa mwisho ni mdau.


Kati kati ni mie Machibya nikiwa na wadau wa burudani Club Billz jana majira ya saa saba usiku nje ya ukumbi wa Club hiyo ambapo tulitoka ndani ilikurifureshi na hali ya hewa ya nje siunajua tena mambo ya kupiga stori nje huwa mwake kivile .

Comments