Skip to main content

Konstebo Noel Paul Jenga Amejiua




Waziri wa mambo ya ndani Lawrence Masha

Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi

Askari polisi mmoja ambaye ni Mkufunzi wa Tanzania police Academy, Konstebo Noel Paul Jenga33), amejiua leo kwa kujipiga risasi moja kichwani akiwa kwenye chumba cha kutunzia silaha kwenye Chuo hicho Jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Tanzania Police Academy SACP Alice Mapunda, amesema kuwa Kostebo Noel Jenga, amejiua majira ya saa moja asubuhi baada ya kupokea zamu ya ulinzi katika kituo kidogo cha Polisi cha Mfano, kilichopo Chuoni hapo.

SACP Mapunda amesema kuwa mara baada ya kupokea zamu ya ulinzi askari huyo aliwaruhusu wenzake waliokesha kwa ulinzi katika kituo hicho kisha kuandika taarifa ya kusudio lake la kujiua kwenye kitabu maalum cha shughuli za zamu maafufu kama OB.

Katika taarifa hiyo, iliyoandikwa saa 12.45 asubuhi, Konstebo Noel Jenga, alisema kuwa ameamua kujiua mwenyewe kwa hiyari yake bila ya kulazimishwa na mtu yoyote na ameomba asisumbuliwe mtu yeyote kutokana na tukio hilo.

Amesema baada ya kuandika taarifa hiyo, Konsetebo Noel Jenga, alianza kuwapigia simu baadhi ya nduguzake kuwaaga buriani na baada ya kumaliza kufanya hivyo alizima simu na kisha kuweka mtutu wa bunduki mdomoni na kujifyatulia risasi ambayo imesababisha kifo chake.

Marehemu Noeli alizaliwa Desemba 25, 1977 huko mjini Morogoro na baadaye kupata elimu ya msingi katika sule moja mjini Morogoro tangu mwaka 1986 hadi 1992 na kujiunga na masomo ya Sekonda kwenye Shule ya Sekondari ya Center mjini Dodoma kati Ya mwaka 1993 na 1996 kabla ya kujiunga na kidato cha tano na cha sita katika shule ya Sekondari ya Forest mjini Morogoro kati ya mwaka 1998 na 2000.

Alijiunga na Jeshi la Polisi katika Chuo cha polisi cha Kimataifa cha CCP cha Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro mnamo Septemba 25, 2000 na kuhitimu mafunzo ya awali ya uaskari Polisi Mei 25, 2001.

Mara baada ya kumaliza mafunzo hayo alipangiwa mkoa wa Iringa ambapo alipelekwa katika kituo cha Polisi Ludewa kabla ya kuhamishiwa CCP Moshi mkoani kama Mkufunzi mwaka 2006 na kutokana na juhudi yake ya ukufunzi alihamishiwa katika Chuo Kikuu cha Polisi Jijini Dar es Saam ambacho sasa ni Tanzania Police Academy.

Kamanda Mapunda amesema kuwa Polisi wameanza uchunguzi wa chanzo cha kifo cha marehemu na kwamba mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda kwao Morogoro inafanywa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...