Skip to main content

Mh .Azzan Zungu Akiteta na Watoto Waishio Kwenye Mazingira Magumu Leo mchanamaeneoya Posta Dar es Slaam




HOTUBA YA MWENYEKITI KWA MGENI RASMI MH.AZZAN ZUNGU-HOTUBA HII NI MAONI YA WATOTO WANAOISHI KTK MAZINGIRA MAGUMU(MITAANI)DSM,TZ

MH MGENI RASMI AZZAN ZUNGU TUNAKUKARIBISHA SANA NA TUMEFURAHI KUJUMUIKA NASI PAMOJA SIKU HII YA LEO.SIKU AMBAYO ITAKUWA NI HITORIA KWETU KWA SABABU TUNAAMINI KILIO CHETU KITASIKIKA MHESHIMIWA MGENI RASMI NI VYEMA UKAJUA KWAMBA WATOTO WANAOISHI KTK MAZINGIRA MAGUMU NI WATOTO KAMA WATOTO WENGINE HIVYO WANAHITAJI KUPATIWA HAKI ZOTE MUHIMU KAMA WATOTO WENGINE UNAVYOTUONA TUMEKUWA TUKIPATA SHIDA NYINGI SANA TUKIWA MITAANI BILA YA KUPATIWA UFUMBUZI WA KINA,SHIDA HIZO NI PAMOJA NA KULALA NJE KULA KWA TAABU KUPATA ELIMU KWA TAABU NA HATA MAVAZI NI YA SHIDA KUTOKANA NA HALI HALISI YA MAISHA YETU.TUMEKUWA TUKIHANGAIKA HUKU NA KULE KUTAFUTA UFUMBUZI WA MATATIZO YETU BILA YA MAFANIKIO YOYOTE,KAMA UNAVYOJUA MHESHIMIWA KITENDO CHA MTOTO KULALA NJE KAMA TUNAVYOONEKANA TUKILALA VIBARAZANI VINAATHIRI SANA KISAIKOLOJIA BADO HUKU VITUO VILIVOPO NA TAASISI HUSIKA MBALIMBALI BILA YA KUSAHAU WIZARA HUSIKA .HATUONI MSAADA WOWOTE KUHUSU HILO,WATOTO WENGI WANAPOTEZA MAISHA YAO KWA MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUKOSA MSAADA MUHIMU.TUNAJIULIZA SANA KWAMBA NANI WAKUTUOKOA HAPA TULIPO?MHESHIMIWA MGENI RASMI HATA SUALA LA ELIMU KWETU LIMEKUWA NDOTO,HAKUNA UTARATIBU MAALUM UNAOWEZA KUTUFANYA TUPATE ELIMU.TUKIWA KAMA WATOTO WATAIFA HILI LENYE RASILI MALI NYINGI.NI MUHIMU TUKASHIKAMANA NA KUSAIDIANA SISI KWANZA ILI IWE MFANO KWA MATAIFA MBALIMBALI TUKIWA. MITAANI KUNA SHIDA TUNAZOPATA IKIWEMO KUKAMATWA NA BAADHI YA POLISI TUKIWA TUMELALA KWENYE MITAA MBALIMBALI PASIPO MAKOSA NA KUPATIWA KESI MBALIMBALI NA HATIMA YAKE KUPELEKWA JELA.WATOTO WENGI PIA HUKAMATWA NA ASKARI WA JIJI WANAPOKUA WANATAFUTA RIZIKI KWA NJIA YA KUOSHA MAGARI,SASA WAZAZI WETU SISI TWENDE WAPI TUPATE MSAADA KWA FAIDA YA TAIFA LETU KIUJUMLA?MHESHIMIWA KUNA MAMBO MENGI SANA YA KUONGEA KUHUSU MAISHA YETU,LAKINI NI VEMA TUKAPATIWA SEHEMU MAALUM KWA AJILI YA KUISHI.,PAMOJA NA ELIMU KWA UJUMLA.HIVYO BASI NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII YA PEKEE NIKIWA KAMA MWENYEKITI WA SISI WATOTO TUNAOISHI KATIKA MAISHA MAGUMU KUMUOMBA MTU AMBAYE AWE BABA YETU MLEZI KWA AJILI YA KUPATA NJIA YA KUTOKEA KTK HALI NGUMU HII YA KIMAISHA.NI IMANI YETU YA KUWA TUTAPOPATA BABA MLEZI ATAWEZA KUTULEA KTK MAISHA YETU.NAPENDA KUMUOMBA MWENYEKITI MTENDAJI WA MAKAMPUNI YA IPP, MHESHIMIWA REGINALD MENGI KUWA BABAYETU MLEZI.BABA YETU MENGI TUNAKUOMBA UPOKEE JUKUMU HILI NASI TUMEKUPENDEKEZA KUTOKANA NA KUKUONA NI MTU MWENYE UPENDO KTK TAIFA HILI LETU, NI MATUMAINI YETU OMBI LETU LITAPOKELEWA KWA MIKONO MIWILI NASI TUNAAHIDI USHIRIKIANO WA DHATI IWAPO TUTAHITAJIKA KTK KUFANIKISHA MAENDELEO YETU.MHESHIMIWA MGENI RASMI NINAPENDA KUTOA SHUKURANI ZETU ZA DHATI KWA NDUGU YETU AMBAYE AKISAIDIA KUTUPA MAWAZO YA UFUMBUZI WA MATATIZO YETU KWA MUDA MREFU NAYE NI NDUGU. ZAHIR BABA AMBAYE NI MFANYABIASHARA.

KWA HAYO BASI NAJUA UNAMAJUKUMU MENGINE NA PIA ASANTE KWA KUPOKEA WITO WETU NA KUTUTENGEA MDA MAALUM KAMA HUU BILA YA KUTUDHARAU..ASANTE SANA SANA NA MUNGU AKUBARIKI KWA KILA LA HERI NAWE….AMIN
MIMI HAPA NI OMARI RAJABU NIKIWA KAMA MWENYEKITI WA SISI WATOTO TUNAOISHI KTK MAZINGIRA MAGUMU.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...