Skip to main content

Wasafiri wanne kutoka Kenya walishukiwa kuwa na maambukizi ya vimelea vya ugonjwa wa homa ya Chikungunya

 






WIZARA ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto imesema
kuwa Jumla ya wagonjwa 226 wa homa ya Dengue pamoja na
wagonjwa nne wa homa ya Chikungunya wameripotiwa kuugua magonjwa
hayo kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Tanga.


Hayo yamesemwa Dar es Salaam leo na Waziri mwenye dhamana hiyo Ummy
Mwalimu wakati akitolea taarifa kuhusiana na magonjwa hayo yanayoshabihia
na homa ya Chikungunya pamoja na Gengu.

Alisema mnamo Juni 26 mwaka huu wasafiri wanne kutokea Mombasa nchini
Kenya walishukiwa kuwa na maambukizi ya vimelea vya ugonjwa
wa homa ya Chikungunya Waziri Ummy ameongeza kuwa mpaka kufika july mosi
mwaka huu watakuwa na vituo maalum vya kufuatilia magonjwa hayo ikiwemo
kudhibiti mazalia ya mmbu.

"Niwajibu wa kila mtoa huduma za afya kutoa taarifa hasa hospitali
binafsi ambako changa kubwa imekuwa ni kushindwa kupata taarifakuhusu
ugonjwa huo,"amesema .

Amesema ugonjwa wa Ebora pia bado haujaingia rasmi katika nchini
hila tumejipanga kukabiliana nao hiwapo utaingia nchini .

Wakati huo huo Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Dk Mpoki Ulisubisya amesema
mbali na mikoa hiyo miliwi ambayo imebainika kuwa na wagonjwa wa magonjwa
hayo pia mikoa iliyopo kwenye hatari ya kupata ugonjwa huo ni pamoja na
Tanga, Kilimanjaro na Pwani.

Katika hatua nyingine Waziri ametoa taarifa kuhusu ugonjwa wa ebola kuwa
mpaka sasa jumla ya watu 61 nchini Congo wameugua ugonjwa wa Ebola, huku
akisisitiza kuwa ugonjwa huo bado haujaingia nchini ambapo pia naye
Mkurugenzi mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Adiele Onyeze
ametolea ufafanuzi kuhusiana na ugonjwa huo.

 Hata hivyo Waziri Ummy amesisitiza kuwa ni wajibu wa kila mtoa huduma
za afya kutoa kuhusiana na wagonjwa ambao wamekuwa wakifika kwenye vituo
 vyao vya afya ili kuweza kukabiliana na magonjwa ya milipuko yanapojitokeza




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...