Skip to main content

Wasafiri wanne kutoka Kenya walishukiwa kuwa na maambukizi ya vimelea vya ugonjwa wa homa ya Chikungunya

 






WIZARA ya Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto imesema
kuwa Jumla ya wagonjwa 226 wa homa ya Dengue pamoja na
wagonjwa nne wa homa ya Chikungunya wameripotiwa kuugua magonjwa
hayo kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Tanga.


Hayo yamesemwa Dar es Salaam leo na Waziri mwenye dhamana hiyo Ummy
Mwalimu wakati akitolea taarifa kuhusiana na magonjwa hayo yanayoshabihia
na homa ya Chikungunya pamoja na Gengu.

Alisema mnamo Juni 26 mwaka huu wasafiri wanne kutokea Mombasa nchini
Kenya walishukiwa kuwa na maambukizi ya vimelea vya ugonjwa
wa homa ya Chikungunya Waziri Ummy ameongeza kuwa mpaka kufika july mosi
mwaka huu watakuwa na vituo maalum vya kufuatilia magonjwa hayo ikiwemo
kudhibiti mazalia ya mmbu.

"Niwajibu wa kila mtoa huduma za afya kutoa taarifa hasa hospitali
binafsi ambako changa kubwa imekuwa ni kushindwa kupata taarifakuhusu
ugonjwa huo,"amesema .

Amesema ugonjwa wa Ebora pia bado haujaingia rasmi katika nchini
hila tumejipanga kukabiliana nao hiwapo utaingia nchini .

Wakati huo huo Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Dk Mpoki Ulisubisya amesema
mbali na mikoa hiyo miliwi ambayo imebainika kuwa na wagonjwa wa magonjwa
hayo pia mikoa iliyopo kwenye hatari ya kupata ugonjwa huo ni pamoja na
Tanga, Kilimanjaro na Pwani.

Katika hatua nyingine Waziri ametoa taarifa kuhusu ugonjwa wa ebola kuwa
mpaka sasa jumla ya watu 61 nchini Congo wameugua ugonjwa wa Ebola, huku
akisisitiza kuwa ugonjwa huo bado haujaingia nchini ambapo pia naye
Mkurugenzi mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Adiele Onyeze
ametolea ufafanuzi kuhusiana na ugonjwa huo.

 Hata hivyo Waziri Ummy amesisitiza kuwa ni wajibu wa kila mtoa huduma
za afya kutoa kuhusiana na wagonjwa ambao wamekuwa wakifika kwenye vituo
 vyao vya afya ili kuweza kukabiliana na magonjwa ya milipuko yanapojitokeza




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.