Skip to main content

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila amezitaka Asasi zisizo za Kiserikali kuchangia katika uwekezaji


KATIBU MKUU Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila Mkumbo ,ameyataka Mashirika ya maendeleo ya kimataifa,Taasis binafsi na Asasi zisizo za Kiserikali kuchangia katika uwekezaji wa miradi ya maji nchini.

Prof Mkumbo aliyasema hayo jana katika hoteli ya New Africa wakati wa majadiliano baina ya wadau wa sekta binafsi na Wizara ya Maji ,nakusema kuwa Serikali peke yake haiwezi kutatua kero ya maji nchini nakuyataka mashirika hayo kuunga mkono jitihada za serikali.

“Serikali inatekeleza maendeleo ya sekta ya maji kwakushirikisha halmashauri zote nchini, katika vipaumbele vya miaka mitano ambapo sekta ya maji ni miongoni mwao na ni sekta ambayo hupata pesa nyingi.

Alisema zipo jitihada    nyingi zinazofanywa na serikali katika kuhakikisha tatizo la maji linakwisha nakufikia malengo  ya Dunia namba sita lakini pia serikali ina malengo ya miaka mitano ambapo hadi sasa 58%-60 ya watu wa vijijini wanapata maji safi na salama.

Aidha Prof Mkumbo alisema kuwa sekta ya maji inawekeza katika matumizi yake katika maeneo makuu matatu yakiwemo umwagiliaji, majumbani, na umeme.
“Tumekutana na wenzetu hawa wadau wa maji nakuwataka wawekeze katika ushiriki wa viwanda kwakuwa  maji yapo yakutosha, kikubwa ni teknolojia na fedha kwa ajili ya kuvuna maji hayo na serikali pekee haiwezi."Alisema.

Naye Ofisa Mkuu Mtendaji wa mfuko wa UTT alisema kuwa serikali imewekeza vya kutosha katika sekta ya maji lakini mahitaji katika sekta hiyo ni makubwa hivyo sekta binafsi haina budi kuunga mkono serikali katika jitihada za kutatua tatizo la maji.

“Sekta binafsi inatakiwa nayo kufanya kwa nafasi yake kusaidia nakuna haja ya kushirikiana na halimashauri na watekelezaji wa miradi ya maji kwakuwapatia vitendea kazi mbalimbali.Alisema.

Hata hivyo Washima alisema kuwa wao kama UTT wamekuwa wakichangia miradi mbalimbali ya maji nchini inayotekelezwa katika halmashauri mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...