Skip to main content

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila amezitaka Asasi zisizo za Kiserikali kuchangia katika uwekezaji


KATIBU MKUU Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila Mkumbo ,ameyataka Mashirika ya maendeleo ya kimataifa,Taasis binafsi na Asasi zisizo za Kiserikali kuchangia katika uwekezaji wa miradi ya maji nchini.

Prof Mkumbo aliyasema hayo jana katika hoteli ya New Africa wakati wa majadiliano baina ya wadau wa sekta binafsi na Wizara ya Maji ,nakusema kuwa Serikali peke yake haiwezi kutatua kero ya maji nchini nakuyataka mashirika hayo kuunga mkono jitihada za serikali.

“Serikali inatekeleza maendeleo ya sekta ya maji kwakushirikisha halmashauri zote nchini, katika vipaumbele vya miaka mitano ambapo sekta ya maji ni miongoni mwao na ni sekta ambayo hupata pesa nyingi.

Alisema zipo jitihada    nyingi zinazofanywa na serikali katika kuhakikisha tatizo la maji linakwisha nakufikia malengo  ya Dunia namba sita lakini pia serikali ina malengo ya miaka mitano ambapo hadi sasa 58%-60 ya watu wa vijijini wanapata maji safi na salama.

Aidha Prof Mkumbo alisema kuwa sekta ya maji inawekeza katika matumizi yake katika maeneo makuu matatu yakiwemo umwagiliaji, majumbani, na umeme.
“Tumekutana na wenzetu hawa wadau wa maji nakuwataka wawekeze katika ushiriki wa viwanda kwakuwa  maji yapo yakutosha, kikubwa ni teknolojia na fedha kwa ajili ya kuvuna maji hayo na serikali pekee haiwezi."Alisema.

Naye Ofisa Mkuu Mtendaji wa mfuko wa UTT alisema kuwa serikali imewekeza vya kutosha katika sekta ya maji lakini mahitaji katika sekta hiyo ni makubwa hivyo sekta binafsi haina budi kuunga mkono serikali katika jitihada za kutatua tatizo la maji.

“Sekta binafsi inatakiwa nayo kufanya kwa nafasi yake kusaidia nakuna haja ya kushirikiana na halimashauri na watekelezaji wa miradi ya maji kwakuwapatia vitendea kazi mbalimbali.Alisema.

Hata hivyo Washima alisema kuwa wao kama UTT wamekuwa wakichangia miradi mbalimbali ya maji nchini inayotekelezwa katika halmashauri mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.