Skip to main content

Nyange alwataka Watanzania kujiwekea mazoea ya kutembelea hifadhi mbalimbali za Taifa

HIFADHI ya  Ngorongoro  pamoja na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ni moja ya
maajabu mapya nane ya Dinia,Mwaka 2010,kamati ya masuala ya Urithi wa Dunia 
ilitaja kuwa Hifadhi ya Norongoro kuwa Eneo la Utamaduni la urithi wa Dunia.
Afisa Uhusiano wa Hifadhi ya Ngorongoro Nickson Nyange wakati akizungumza na kuhusiana na maonyesho ya wiki ya mazingira

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Dar es Salaam katika viwanja vya mnazi mmoja
katika muendelezo wa maonyesho ya wiki ya mazingira Afisa Uhusiano idara ya 
ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Nickson Nyange aliwataka Watanzania kujiwekea 
mazoea ya kutembelea hifadhi mbalimbali za Taifa zilizopo hapa nchini 
ikiwemo Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Alisema Tanzania imebarikiwa na Mungu kwa kuwa na vivutio vingi 
ambavyo vimesheheni maajabu lakini pia wanyama pori wa aina tofauti 
tofauti hivyo ni vyema wananchi wanaonyesha muamko wakwenda kutalii.

“Tumekuja kwenye viwanja nvya mnazi mmoja kwa lengo la kuwapatia elimu watanzania
 namna ambavyo wanapaswa kutembelea mbuga zetu za wanyama ili kushuhudia uumbaji 
wa Mungu”alisema Nyange

Katika suala la utunzaji wa mazingira alisema wanashiriki kwenye kampeni ya 
kuhakikisha wanayatunza na kuyahifadhi mazingiza ya hifadhi ikiwa ni pamoja 
na upandaji wa miti ili kuacha mazingira mazuri kwa vizazi vijanvyo.

Inaelezwa kuwa Hifazi ya Ngorongoro inasimamiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya 
Ngorongoro ambayo kisheria inatekeleza majukumu yake makuu kama kuifadhi 
maliasili zilizo ndani ya Eneona pili inasimamia kukuza na kuendeleza 
utalii katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

“Miti mikubwa ambayo munaiona sasa hivi haikuoteshwa jana wala juzi wala mwaka 
jana bali ilioteshwa miaka mingi iliyopita hivyo tunapaswa kuyatunza na kuyahifadhi
 mazingira.”alimaliziea kusema Nyange.

Ngorongoro  ni eneo la kasoko kubwa nchini Tanzania, lenye umbali wa takriban
kilomita180 kutoka Arusha; pia ni hifadhi ya taifa inayojulikana kote duniani
 ambapo inasemekana Kuna jumla ya wanyamapori wakubwa takriban 25,000, wakiwa 
pamoja na  vifaru, viboko, nyumbu, pundamilia, nyati, simba, fisi na chui.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.