Skip to main content

Nyange alwataka Watanzania kujiwekea mazoea ya kutembelea hifadhi mbalimbali za Taifa

HIFADHI ya  Ngorongoro  pamoja na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ni moja ya
maajabu mapya nane ya Dinia,Mwaka 2010,kamati ya masuala ya Urithi wa Dunia 
ilitaja kuwa Hifadhi ya Norongoro kuwa Eneo la Utamaduni la urithi wa Dunia.
Afisa Uhusiano wa Hifadhi ya Ngorongoro Nickson Nyange wakati akizungumza na kuhusiana na maonyesho ya wiki ya mazingira

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Dar es Salaam katika viwanja vya mnazi mmoja
katika muendelezo wa maonyesho ya wiki ya mazingira Afisa Uhusiano idara ya 
ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Nickson Nyange aliwataka Watanzania kujiwekea 
mazoea ya kutembelea hifadhi mbalimbali za Taifa zilizopo hapa nchini 
ikiwemo Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Alisema Tanzania imebarikiwa na Mungu kwa kuwa na vivutio vingi 
ambavyo vimesheheni maajabu lakini pia wanyama pori wa aina tofauti 
tofauti hivyo ni vyema wananchi wanaonyesha muamko wakwenda kutalii.

“Tumekuja kwenye viwanja nvya mnazi mmoja kwa lengo la kuwapatia elimu watanzania
 namna ambavyo wanapaswa kutembelea mbuga zetu za wanyama ili kushuhudia uumbaji 
wa Mungu”alisema Nyange

Katika suala la utunzaji wa mazingira alisema wanashiriki kwenye kampeni ya 
kuhakikisha wanayatunza na kuyahifadhi mazingiza ya hifadhi ikiwa ni pamoja 
na upandaji wa miti ili kuacha mazingira mazuri kwa vizazi vijanvyo.

Inaelezwa kuwa Hifazi ya Ngorongoro inasimamiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya 
Ngorongoro ambayo kisheria inatekeleza majukumu yake makuu kama kuifadhi 
maliasili zilizo ndani ya Eneona pili inasimamia kukuza na kuendeleza 
utalii katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

“Miti mikubwa ambayo munaiona sasa hivi haikuoteshwa jana wala juzi wala mwaka 
jana bali ilioteshwa miaka mingi iliyopita hivyo tunapaswa kuyatunza na kuyahifadhi
 mazingira.”alimaliziea kusema Nyange.

Ngorongoro  ni eneo la kasoko kubwa nchini Tanzania, lenye umbali wa takriban
kilomita180 kutoka Arusha; pia ni hifadhi ya taifa inayojulikana kote duniani
 ambapo inasemekana Kuna jumla ya wanyamapori wakubwa takriban 25,000, wakiwa 
pamoja na  vifaru, viboko, nyumbu, pundamilia, nyati, simba, fisi na chui.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...