Skip to main content

TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni yazungumza

TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa Mkoa wa Kinondoni 
(TAKUKURU) imesema  kwa kipindi cha miezi(12) cha kuanzia 
Julai hadi Juni 2018 imeweza kutekeleza malengo yake ya 
utendaji  kazi kama yalivyoainishwa kwenye Sheria ya Kuzuia
na Kupambana na Rushwa Na 11 ya mwaka 2007.


TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni kuanzia mwezi Julai,2017 hadi Juni,
2018 iliweza kutekeleza majukumu yake kwa kupokea taarifa mpya
kufungua kesi mpya kuendesha kesi zilizokuwa zimeshafunguliwa, 
kufungua majalada mapya ya uchunguzi na kuendelea na uchunguzi 
wa majalada ya zamani.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam  juu ya 
taarifa hiyo  Naibu Mkuu wa Takukuru(M)Eugenius Hazinamwisho
alisema kuwa mafanikio hayo ya utekelezaji wa jukumu la 
kuchunguza taarifa za vitendo vya rushwa yametokana na 
mwitikio mzuri wa jamii katika kutoa taarifa na utayari wa 
kuipa TAKUKURU ushirikiano.

"Taarifa 376 zimepokelwa  kutoka  kwa wadau ambao ni vyombo
vya habari,vyombo vya ulinzi na usalama,Idara na Taasisi 
mbalimbali pamoja na watu binafsi,uchunguziwa taarifa hizi uko 
katika hatua mbalimbali,"alisema Eugenius.

Eugenius alisema kuwa taatifa hizo zimewezesha kukamatwa kwa 
watuhumiwa tisa(9)mahakamani kwa kifungu namba 15 cha sheria 
ya kuzuia na kupambana na rushwa namba (6)mahakamani kwa 
kifungu namba 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa 
namba 11/2007.

TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni imesema watumishi hao waliomba 
rushwa ili kupindisha sheria kanuni na taratibu zinazotumika 
katika utekelezaji wa majukumu yao.

Pia kesi nyingine  tano(5)zilifunguliwa mahakamani ambapo
zilitolewa kibali na DPP.

Aidha  katika taarifa hizo idara zilizoongoza kwa kulalamikiwa 
dhidi ya vitendo vya rushwa vimetajwa kuwa ni TAMISEMI ambapo  
taarifa 108(28.72%) zilipokelewa,idara ya Polisi taarifa 44 swasawa(11.70%)
zilipokelewa ambapo sekta binafsi taarifa 39

(1037%)zilipokelewa.


"Mahakamani taarifa 29 (7.71%) zilipokelewa ambapo ardhi 
taarifa 22(5.85%)zilipokelwa na sekta ya elimu taarifa 14
(3.72%)zilipkelewa,"alisema Eugenius.


Eugenius alisema katika kipindi cha Julai 2017 hadi Juni 2018 taasisi imedhibiti na kuokoa jumla ya fedha za kitanzania milioni sabini na nane laki nne tisini na saba elfu mia tisa hamsini na sita na senti hamsini(78,497,956.50).

Kwa upande wa utoaji wa elimu kwa umma TAKUKURU imeendelea 
kutekeleza majukumu yake ya kufanya utafiti na udhibiti na
uchambuzi mifumo,utendaji ,na miradi ya maendeleo ambapo 

mifumo sita katika ofisi za TANESCO Kimara Wilaya ya Ubungo,TA
NESCO Tegeta Wilaya ya Kinondoni, pia DAWASCO Boko Wilaya ya 

Kinondoni pamoja na Kimara Wilaya ya Ubungo zingine ni TASAF Manispaa 
Ubungo na katika maeneo ya wazi kufanywa masoko na kusababisha serikali 
kupoteza mapato.

TAKUKURU Kinondoni imeeleza kuwa katika kutekeleza majukumu ya 
utafiti,udhibiti na uchambuzi wa mifumo jumla ya warsha 4 zili
fanyika katika idara zilizofanyiwa uchunguzi wa mifumo na kati 
ya hizo idara tatu ziliweka makubaliano ya pamoja ya
jinsi ya kushughulikia mapungufu yaliyobainishwa.


Pia katika kuhakikisha kuwa fedha za serikali zinatumika 
kulingana na lengo lililokusudiwa,thamani halisi ya fedha na 
utekelezaji wa miradi kwa wakati TAKUKUTU Mkoa wa Kinondoni
imefuatilia miradi nane(8)ya maendeleo yenye jumla ya thamani 

ya shilingi bilioni tatu nukta tisa (3.9 bilioni)nakufanyiwa
ukaguzi na udhibiti kwa lengo la kujua ubora wa miradi na 

iwapo taratibu za matumizi ya fedha za umma umezingatiwa.

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni anatoa wito kwa Wananchi
wote kuendelea kushirikiana na taasisi katika mapambano dhidi
ya  Rushwa kwa kutoa taarifa za vitendo vya rushwa,kwa kufika 

ofisini au kwa kupiga namba 0652 409 165,wananchi pia wanaweza 
kupiga simu ya bure namba 113 au kutuma ujumbe mfupi wa maneno
kwenda namba 113.

Taasisi inawaasa viongozi na watumishi wa umma na wa sekta 
binafsi kuacha mara moja kujihusisha na vitendo vya rushwa  
kwani watakapobainishka  kufanya hivyo hatua za kisheria  
zitachukuliwa dhidi yao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.