Skip to main content

Baby kuanza kutikisa upya anga za filamu

MSANII wa filamu nchini Marry Nicolous a.k.a Baby ambaye amekamilisha ujio wa filamu kama Nguvu ya Neno,Chimvula,Haiba ya Moyo amesema kuwa katika muda mchache kuanzia sasa zitaanza kuoneshwa kupitia Dstv.Moja ya ushawishi mkubwa kuona kazi ya msanii inakuwa katika kiwango bora ni kazi ya msanii kukubalika kuoneshwa katika channel kubwa .



Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili Dar es Salaam Baby amesema katika nyakati za sasa wasanii wamekuwa wakifanya biashara na vituo vya  luninga kubwa kama channel ya Dstv ila wanachukua filamu zenye ubora mkubwa.



Alisema anafurahishwa na hali ya kupokelewa vyema kwa filamu zake katika luninga hiyo iliyopo Afrika Kusini kwa mkataba na channel hiyo utakuwa wenye maslahi mazuri.



"Mania ya kufikia malengo mengine makubwa sana katika anga za filamu , mara  tu filamu hizo zitakapoanza kurushwa katika luninga hiyo kubwa barani Afrika kazi zangu nyingine zitafuata nimepania kuwa mwanamke mwenye muonekano mzuri wa kimafanikio kupitia sanaa ya filamu,"alisema Baby.



Baby alisema kupitia kampuni yake iitwayo Marry Nicol Film Campany  ameanza kuandaa pia ujio mwingine uitwao 'Mtukufu Ramadhani' chini ya director Kebby Kazingini.






Filamu zingine zijazo amezitaja kuwa ni Moyo Mkakamavu pamoja na nyingine iitwayo Mzazi wa Tatu ambapo amefafanua kuwa mpaka kufikia mafanikio ya kuandaa filamu zake ameisha shirikishwa kwenye filamu zingine awali hatua iliyomjenga kiuwezo latika anga hizo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.