Skip to main content

Baby kuanza kutikisa upya anga za filamu

MSANII wa filamu nchini Marry Nicolous a.k.a Baby ambaye amekamilisha ujio wa filamu kama Nguvu ya Neno,Chimvula,Haiba ya Moyo amesema kuwa katika muda mchache kuanzia sasa zitaanza kuoneshwa kupitia Dstv.Moja ya ushawishi mkubwa kuona kazi ya msanii inakuwa katika kiwango bora ni kazi ya msanii kukubalika kuoneshwa katika channel kubwa .



Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili Dar es Salaam Baby amesema katika nyakati za sasa wasanii wamekuwa wakifanya biashara na vituo vya  luninga kubwa kama channel ya Dstv ila wanachukua filamu zenye ubora mkubwa.



Alisema anafurahishwa na hali ya kupokelewa vyema kwa filamu zake katika luninga hiyo iliyopo Afrika Kusini kwa mkataba na channel hiyo utakuwa wenye maslahi mazuri.



"Mania ya kufikia malengo mengine makubwa sana katika anga za filamu , mara  tu filamu hizo zitakapoanza kurushwa katika luninga hiyo kubwa barani Afrika kazi zangu nyingine zitafuata nimepania kuwa mwanamke mwenye muonekano mzuri wa kimafanikio kupitia sanaa ya filamu,"alisema Baby.



Baby alisema kupitia kampuni yake iitwayo Marry Nicol Film Campany  ameanza kuandaa pia ujio mwingine uitwao 'Mtukufu Ramadhani' chini ya director Kebby Kazingini.






Filamu zingine zijazo amezitaja kuwa ni Moyo Mkakamavu pamoja na nyingine iitwayo Mzazi wa Tatu ambapo amefafanua kuwa mpaka kufikia mafanikio ya kuandaa filamu zake ameisha shirikishwa kwenye filamu zingine awali hatua iliyomjenga kiuwezo latika anga hizo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...