Skip to main content

wananchi kujiepusha na uharibifu wa mazingira

VIONGOZI NA WANANSIASA WATAKIWA KUEPUKA KUWATETEA WANANCHI WANAOHARIBU MAZINGIRA


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hasan akikagua bidhaa za wajasiriamanli mbalimbali kwenye viwanja vya mnazi mmoja
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan(kulia) akiwa anatembea kushoto kwake aliyevaa suti ya blue Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan akizindua ukuta maeneo ya barabara ya Barack Obama
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dar es salaam pamoja na nchi kwa ujumla.

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan pamoja na Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba wakitizama ukuta ambao ameuzindua leo.

Baadhi ya wananchi ambao wamejitokeza kwenye uhitimishwaji wa siku ya mazingira.(picha zote na Mussatz)


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hasan amewataka viongozi pamoja na wanasiasa kuepuka kuwatetea wananchi wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira.

Makamu wa Rais Samia ametoa wito huo leo jijini Dar es salaam wakati akihitimisha kilele cha siku ya Mazingira iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini hapa.

Aidha Mhe.Samia amesema ni muhimu wananchi wakachukua hatua katika kuhakikisha wanayatunza mazingira na hivyo serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na waharibifu wa mazingira.

Awali akizungumza Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba amesema watahakikisha wanaendeleza jitihada za kuyahifadhi mazingira kwa kuwapa elimu wananchi watumie nishati mbadala na kuepuka mayumizi ya mkaa.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye ndiye mwenyeji wa maadhimisho ya mwaka huu kitaifa Paul Makonda amesema wakazi wa Dar es salaam ni wachafu na wanatia aibu hivyo tar 1 july ataanzisha oparesheni ya usafi jijini hapa.

Alvaro Rodrigues ni Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa akiwa amehudhuria kwenye maadhimisho hayo amesema watahakikisha wanaendelea kufanya kazi kwa pamoja na wananchi wote katika kuyatunza mazingira.

Hata hivyo Mbali na kufanya zoezi la Uhitimishaji wa siku ya Mazingira Mhe Samia amezindua ukuta uliopo barabara ya Barack Obama wenye lengo la kuizuia bahari kuendelea kuimegua ardhi lakini pia kuwa kivutio na kituo muhitu cha mapumziko kwa watu wa Dar es salaam.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...