Skip to main content

wananchi kujiepusha na uharibifu wa mazingira

VIONGOZI NA WANANSIASA WATAKIWA KUEPUKA KUWATETEA WANANCHI WANAOHARIBU MAZINGIRA


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hasan akikagua bidhaa za wajasiriamanli mbalimbali kwenye viwanja vya mnazi mmoja
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan(kulia) akiwa anatembea kushoto kwake aliyevaa suti ya blue Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan akizindua ukuta maeneo ya barabara ya Barack Obama
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dar es salaam pamoja na nchi kwa ujumla.

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan pamoja na Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba wakitizama ukuta ambao ameuzindua leo.

Baadhi ya wananchi ambao wamejitokeza kwenye uhitimishwaji wa siku ya mazingira.(picha zote na Mussatz)


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hasan amewataka viongozi pamoja na wanasiasa kuepuka kuwatetea wananchi wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira.

Makamu wa Rais Samia ametoa wito huo leo jijini Dar es salaam wakati akihitimisha kilele cha siku ya Mazingira iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini hapa.

Aidha Mhe.Samia amesema ni muhimu wananchi wakachukua hatua katika kuhakikisha wanayatunza mazingira na hivyo serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na waharibifu wa mazingira.

Awali akizungumza Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba amesema watahakikisha wanaendeleza jitihada za kuyahifadhi mazingira kwa kuwapa elimu wananchi watumie nishati mbadala na kuepuka mayumizi ya mkaa.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye ndiye mwenyeji wa maadhimisho ya mwaka huu kitaifa Paul Makonda amesema wakazi wa Dar es salaam ni wachafu na wanatia aibu hivyo tar 1 july ataanzisha oparesheni ya usafi jijini hapa.

Alvaro Rodrigues ni Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa akiwa amehudhuria kwenye maadhimisho hayo amesema watahakikisha wanaendelea kufanya kazi kwa pamoja na wananchi wote katika kuyatunza mazingira.

Hata hivyo Mbali na kufanya zoezi la Uhitimishaji wa siku ya Mazingira Mhe Samia amezindua ukuta uliopo barabara ya Barack Obama wenye lengo la kuizuia bahari kuendelea kuimegua ardhi lakini pia kuwa kivutio na kituo muhitu cha mapumziko kwa watu wa Dar es salaam.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...