Skip to main content

wananchi kujiepusha na uharibifu wa mazingira

VIONGOZI NA WANANSIASA WATAKIWA KUEPUKA KUWATETEA WANANCHI WANAOHARIBU MAZINGIRA


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hasan akikagua bidhaa za wajasiriamanli mbalimbali kwenye viwanja vya mnazi mmoja
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan(kulia) akiwa anatembea kushoto kwake aliyevaa suti ya blue Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan akizindua ukuta maeneo ya barabara ya Barack Obama
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dar es salaam pamoja na nchi kwa ujumla.

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan pamoja na Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba wakitizama ukuta ambao ameuzindua leo.

Baadhi ya wananchi ambao wamejitokeza kwenye uhitimishwaji wa siku ya mazingira.(picha zote na Mussatz)


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hasan amewataka viongozi pamoja na wanasiasa kuepuka kuwatetea wananchi wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira.

Makamu wa Rais Samia ametoa wito huo leo jijini Dar es salaam wakati akihitimisha kilele cha siku ya Mazingira iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini hapa.

Aidha Mhe.Samia amesema ni muhimu wananchi wakachukua hatua katika kuhakikisha wanayatunza mazingira na hivyo serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na waharibifu wa mazingira.

Awali akizungumza Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Januari Makamba amesema watahakikisha wanaendeleza jitihada za kuyahifadhi mazingira kwa kuwapa elimu wananchi watumie nishati mbadala na kuepuka mayumizi ya mkaa.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye ndiye mwenyeji wa maadhimisho ya mwaka huu kitaifa Paul Makonda amesema wakazi wa Dar es salaam ni wachafu na wanatia aibu hivyo tar 1 july ataanzisha oparesheni ya usafi jijini hapa.

Alvaro Rodrigues ni Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa akiwa amehudhuria kwenye maadhimisho hayo amesema watahakikisha wanaendelea kufanya kazi kwa pamoja na wananchi wote katika kuyatunza mazingira.

Hata hivyo Mbali na kufanya zoezi la Uhitimishaji wa siku ya Mazingira Mhe Samia amezindua ukuta uliopo barabara ya Barack Obama wenye lengo la kuizuia bahari kuendelea kuimegua ardhi lakini pia kuwa kivutio na kituo muhitu cha mapumziko kwa watu wa Dar es salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.