Skip to main content

Baa ya miongo kadhaa Wanawake Saudi Arabia rasmi sasa kukaa kwenye usukani


Wanawake nchni Saudi Arabia rasmi sasa wameruhusiwa kukaa kwenye usukani, baa ya miongo kadhaa kutopata ruhusa hiyo

Mabadiliko haya yalitangazwa mwezi Septemba mwaka jana na Saudi Arabia ikatoa leseni za kwanza kwa wanawake mwanzoni mwa mwezi huu.

Ilikuwa nchi pekee iliyobaki duniani ambapo wanawake walikuwa hawaendeshi magari na familia zao zilikuwa zinakodisha dereva kwa ajili ya wanawake.

Hata hivyo, hatua hii imefikiwa wakati kukiwa na Kampeni ya kuwakamata wanaharakati ambao wamekuwa wakipaza sauti wapatiwe haki ya kuendesha magari.

Takriban wanaharakati wa haki za wanawake wanane wanashikiliwa na huenda wakafikishwa mahakamani na kupatiwa kifungo kwa uanaharakati wao, Shirika la kutetea haki za binaadamu, Amnesty International limeeleza.

Miongoni mwa wanaoshikiliwa ni pamoja na Loujain al-Hathloul, mwanaharakati kinara katika kampeni hiyo.
Amnesty pia imetaka kufanyiwa mabadiliko makubwa nchini Saudi Arabia, ambapo wanawake bado wameendelea kukandamizwa na sheria zinazowapa mamlaka zaidi wanaume.

Kundi hilo la haki za binaadamu limefanya kampeni kwa miaka mingi kuhakikisha wanawake wanaendesha magari.

Wanawake kadhaa walikamatwa mjini Riyadh mwaka 1990 na baadhi walianza kutuma picha za video wakiwa wamekaa nyuma ya usukani mwaka 2008 na kati ya mwaka 2011 na 2014, Maelfu ta wanawake sasa wataingia barabarani.

Mtangazaji wa televisheni Sabika al-Dosari ameliambia shirika la habari la Ufaransa, AFP kuwa ''ni tukio la kihistoria kwa kila mwanamke wa Saudi Arabia''.

Amesema alikuwa kwenye usukani mara tu muda wa ukomo wa marufuku ulipotimia.

Hata hivyo, baadhi ya wanaume nchini humo wameelezwa kutoridhishwa kwao na mabadiliko hayo, wakitumia hashtag ya kiarabu ikimaanisha ''Hamtaendesha''.

Kuondolewa kwa marufuku hiyo ni sehemu ya mpango wa Mwanamfalme wa nchini humo,Mohammed bin Salman kubadili mtazamo wa jamii ya Saudi

Hata hivyo bado kuna mambo ambayo wanawake wa Saudi Arabia hawaruhusiwi kufanya,
Wanawake wanapaswa kufuata sheria za nguo wanazopaswa kuvaa, na kutojihusisha na wanaume wasio ndugu zao.Ikiwa wanataka kusafiri, kupata huduma ya kiafya au kufanya kazi, wanapaswa kuongozana mwanaume ambaye ni kiongozi kwenye familia au kuwa na ruhusa yake.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.