Skip to main content

Benki ya Exim iko katika mchakato kupunguza riba ili kuwawezesha wateja kunufaika



Benki ya Exim nchini imefanya hafla fupi ya futuru (Iftar) pamoja na wateja wake huku ikibainisha iko katika mchakato kupunguza riba ili kuwawezesha wateja kunufaika na mikopo na huduma nyingine  zitolewazo na benki hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Exim,Selemani Ponda akizungumza na waandishi wa habari.


baada ya tafrija fupi ya Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo jana usiku Dar es Salaam.

Hatua hiyo imekuja hivi karibuni baada ya tamko la Serikali kupitia Waziri wa Fedha na Mipanga, Philip Mipango lililoyataka taasisi za kibenki kupunguza riba za mikopo kwa wateja ili waweze kunufaika.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Exim, Selemani Ponda wakati wa hafla hiyo iliyowakutanisha wafanyakazi na wateja wa benki hiyo.

Mteja wa Benk ya Exim akizungumza na wanahabari katika tafrija hiyo jana.


Amesema benki hiyo huwa na utaratibu na kukutana na wateja wake katika Kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramdhani na kwamba tayari imeshafanya hivyo katika mikoa mingine ikiwemo Tanga, Mwanza na Mtwara.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim  pamoja na wateja wao wakifuturu katika tafrija hiyo.

“ Tumekutana na wateja wetu katika tafrija fupi ya Iftra mwezi huu wa ramdhan hatufanyi hapa hata mikoa mingine tumeshajumuika na wateja wetu nia ni kuwa nao karibu,” amesema.
Watendaji wa benki hiyo wakipata futari.


Amebainisha kuwa tamko la Serikali la kuzitaka taasisi za kifedha kupunguza riba wamelisikia na mchakato wa kulifanyia unaendelea na kwamba wakati utakapofika riba zitawekwa wazi kwa wateja wao.

Amesisitiza kuwa benki inaamini bado inaendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake huku akiongeza kupunguzwa kwa riba ni njia mojawapo ya kuwanufaisha kwa kuwapatia riba nafuu.

Kwa upande wake, mteja wa benki hiyo, Moustafa Khatan ameziomba benki kutoa riba nafuu  na kuajiri wazawa kwa usawa katika nafasi mbalimbali.

Naye Mwanzilishi wa Chama cha Watoa Huduma ya Oil na Gesi nchini(ATOGS) ambaye pia ni mteja wa benki hiyo, Abdulsamad Abdulrahim ameipongeza benki ya Exim kwa kuwakutanisha na kuiomba iendelee kutoa huduma bora.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...