Skip to main content

Benki ya Exim iko katika mchakato kupunguza riba ili kuwawezesha wateja kunufaika



Benki ya Exim nchini imefanya hafla fupi ya futuru (Iftar) pamoja na wateja wake huku ikibainisha iko katika mchakato kupunguza riba ili kuwawezesha wateja kunufaika na mikopo na huduma nyingine  zitolewazo na benki hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Exim,Selemani Ponda akizungumza na waandishi wa habari.


baada ya tafrija fupi ya Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo jana usiku Dar es Salaam.

Hatua hiyo imekuja hivi karibuni baada ya tamko la Serikali kupitia Waziri wa Fedha na Mipanga, Philip Mipango lililoyataka taasisi za kibenki kupunguza riba za mikopo kwa wateja ili waweze kunufaika.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Exim, Selemani Ponda wakati wa hafla hiyo iliyowakutanisha wafanyakazi na wateja wa benki hiyo.

Mteja wa Benk ya Exim akizungumza na wanahabari katika tafrija hiyo jana.


Amesema benki hiyo huwa na utaratibu na kukutana na wateja wake katika Kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramdhani na kwamba tayari imeshafanya hivyo katika mikoa mingine ikiwemo Tanga, Mwanza na Mtwara.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim  pamoja na wateja wao wakifuturu katika tafrija hiyo.

“ Tumekutana na wateja wetu katika tafrija fupi ya Iftra mwezi huu wa ramdhan hatufanyi hapa hata mikoa mingine tumeshajumuika na wateja wetu nia ni kuwa nao karibu,” amesema.
Watendaji wa benki hiyo wakipata futari.


Amebainisha kuwa tamko la Serikali la kuzitaka taasisi za kifedha kupunguza riba wamelisikia na mchakato wa kulifanyia unaendelea na kwamba wakati utakapofika riba zitawekwa wazi kwa wateja wao.

Amesisitiza kuwa benki inaamini bado inaendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake huku akiongeza kupunguzwa kwa riba ni njia mojawapo ya kuwanufaisha kwa kuwapatia riba nafuu.

Kwa upande wake, mteja wa benki hiyo, Moustafa Khatan ameziomba benki kutoa riba nafuu  na kuajiri wazawa kwa usawa katika nafasi mbalimbali.

Naye Mwanzilishi wa Chama cha Watoa Huduma ya Oil na Gesi nchini(ATOGS) ambaye pia ni mteja wa benki hiyo, Abdulsamad Abdulrahim ameipongeza benki ya Exim kwa kuwakutanisha na kuiomba iendelee kutoa huduma bora.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.