Skip to main content

Rais Dk. John Pombe Magufuli Mgeni Rasmi ASDP 11



Rais Dk. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika
Uzinduzi wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo  Awamu ya Pili (ASDP 11) utakaofanyika jijini Dar es Salaam Juni 4 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.k Nyerere.



 Waziri wa Kilimo Dkt.Charles Tizeba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Uzinduzi wa ASDP 11wa awamu ya pili utakaofanyika jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi huo utahusisha Wizara za kisekta ikiwemo Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Viwanda , Biashara na Uwekezaji na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Kilimo Dk. Charles Tizeba wakati akizingumza na wanahabari kuhusiana na uzindunzi wa programu hiyo.
Amesema shughuli za uzinduzi zitaanza saa 2:00 asubuhi na kwamba progamu hiyo itatekelezwa  katika mikoa na wilaya zote kwa kuzingatia mazao ya kipaumbele na ikolojia ya kilimo ya kanda 10 kwa vipindi viwili vya miaka mitano ambapo kipindi cha kwanza kitaanza  2018/19 hadi 2023/24.
Amebainisha kuwa lengo la ASPDP ni  kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuongeza uzalishaji tija kwenye kilimo, mifugo na uvuvi, kuongeza pato la taifa la wakulima, wafugaji na wavui pamoja na pato la taifa kuwa  na uhakika wa usalama wa chakula na lishe.
Amesisitiza kuwa program hiyo itatekeleza sera mbalimbali ikiwemo Sera ya kilimo ya Taifa, mifugo, uvuvi, masoko ya mazao ya kilimo, umwagiliaji ya taifa, usalama wa chakula na lishe, ugatuaji madaraka, maendeleo ya ushirika na Sera ya mashirikiano kati ya sekta za umma na sekta binafsi.
Amefafanua kuwa washiriki ni wadau sekta ya kilimo, mifugo, uvuvi ushirika, wizara, taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali, washirika wa maendeleo, sekta binafsi na wananchi kwa ujumla.
Ameongeza kuwa endapo ASPDP itasimamiwa kikamilifu hadi kufikia mwaka 2020 nchi itafikia uchumi wa kati.
Ameviomba vyombo vya habari kuishikilia kidete progaramu kupitia makala za magazeti, radio pamoja na vipindi vya televisheni kwa kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na masuala ya kilimo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...