Skip to main content

Rais Dk. John Pombe Magufuli Mgeni Rasmi ASDP 11



Rais Dk. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika
Uzinduzi wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo  Awamu ya Pili (ASDP 11) utakaofanyika jijini Dar es Salaam Juni 4 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.k Nyerere.



 Waziri wa Kilimo Dkt.Charles Tizeba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Uzinduzi wa ASDP 11wa awamu ya pili utakaofanyika jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi huo utahusisha Wizara za kisekta ikiwemo Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Viwanda , Biashara na Uwekezaji na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Kilimo Dk. Charles Tizeba wakati akizingumza na wanahabari kuhusiana na uzindunzi wa programu hiyo.
Amesema shughuli za uzinduzi zitaanza saa 2:00 asubuhi na kwamba progamu hiyo itatekelezwa  katika mikoa na wilaya zote kwa kuzingatia mazao ya kipaumbele na ikolojia ya kilimo ya kanda 10 kwa vipindi viwili vya miaka mitano ambapo kipindi cha kwanza kitaanza  2018/19 hadi 2023/24.
Amebainisha kuwa lengo la ASPDP ni  kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuongeza uzalishaji tija kwenye kilimo, mifugo na uvuvi, kuongeza pato la taifa la wakulima, wafugaji na wavui pamoja na pato la taifa kuwa  na uhakika wa usalama wa chakula na lishe.
Amesisitiza kuwa program hiyo itatekeleza sera mbalimbali ikiwemo Sera ya kilimo ya Taifa, mifugo, uvuvi, masoko ya mazao ya kilimo, umwagiliaji ya taifa, usalama wa chakula na lishe, ugatuaji madaraka, maendeleo ya ushirika na Sera ya mashirikiano kati ya sekta za umma na sekta binafsi.
Amefafanua kuwa washiriki ni wadau sekta ya kilimo, mifugo, uvuvi ushirika, wizara, taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali, washirika wa maendeleo, sekta binafsi na wananchi kwa ujumla.
Ameongeza kuwa endapo ASPDP itasimamiwa kikamilifu hadi kufikia mwaka 2020 nchi itafikia uchumi wa kati.
Ameviomba vyombo vya habari kuishikilia kidete progaramu kupitia makala za magazeti, radio pamoja na vipindi vya televisheni kwa kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na masuala ya kilimo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.