Skip to main content

Jamii yahimizwa kuyatunza na kuyahifadhi mazingira

VIONGOZI  wa dini nchini wameihimiza jamii kujenga utamaduni wa kuyatunza na kuyahifadhi mazingira kwa ajili ya ustawi wa vizazi vilivyopo na vijavyo.

Aidha, wameiomba Serikali kusisitisha matumizi ya mifuko ya plastic ili kupunguza uharibifu wa mazingira unaosababishwa na mifuko hiyo.

Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam kwa wakati tofauti na viongozi wa madhehebu wa dini wakati wa Mjadala wa Kitaifa kuhusu imani ya Dini na katika kuhifadhi mazingira katika wiki ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira itakayofikia kilele Juni 5 mwaka huu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.

Akizungumza katika mjadala Padri wa Kanisa Katoliki, Raymond Saba amesema jamii inatakiwa kuvitengea haki vizazi vilivyopo na vijavyo kwa kuyatunza na kuyahifadhi mazingira na kwenda kinyume kumkosea Mungu muumba wa mazingira.

“ Tuvitendee haki vizazi hapa duniani hata Mwenyezi Mungu katika maandiko yake anaitaka jamii kuyatunza na kuyahifadhi mazingira hivyo kuyaharibu ni kumkosea,” alisema.

Amebainisha kuwa viongozi wa dini wanatakiwa kutumia miundombinu ya dini kuihimiza jamii kwa kuipa ujumbe wa utunzaji na uhifadhi mazingira.

Kwa upande wake, Askofu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Alex Malasusa ameikumbushia Serikali kuhimiza wananchi kuacha matumizi ya mifuko hiyo  kwani inachangia uharibifu wa udongo.

Amesisitiza kuwa kanisa hilo linashiriki kampeni ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti zaidi ya 3000 kwenye vijiji na wilaya iliyopandwa na vijana katika wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Naye Mjumbe wa Baraza la Ulamaa-Baraza la Waislamu Tanzania, Sheikh Othman Issa amesema kuna uharibifu mkubwa wa mazingira ambapo kiasi cha tani milioni nane za plastiki zinatupwa baharini hali inayohatarisha ustawi wa viumbe.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba amesema Serikali iatayafanyia kazi mapendekezo mbalimbali ya utunzaji wa mazingira yaliyaowasilishwa na viongozi.

Katika hatua nyingine, amesema Serikali iko tayari kufanya kazi na vyombo vya habari vinavyomilikiwa na taasisi za dini katika masuala ya utafiti wa mbinu za utunzaji mazingira.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...