Skip to main content

Rais Mnangagwa anusurika kifo

Jana Juni 23, 2018  jioni Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amenusurika kifo baada ya mlipuko mkubwa kutokea kwenye jukwaa mjini Bulawayo alikokuwa akijinadi kwenye kampeni za uchaguzi mkuu nchini humo.

Mnangagwa ambaye aliongozana na mke wake pamoja na makamu wake wa Rais, Kembo Mohadi  wote wameumia miguuni na tayari wamepelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi.

Kwa mujibu wa gazeti la serikali la The Herald limeeleza kuwa mlipuko huo ni jaribio la kutaka kumuua Rais Mnangagwa ambaye toka aingie madarakani mwaka jana baada ya kumpindua aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Robert Mugabe  amekuwa akipokea vitisho.

Shirika la Taifa la Utangazaji nchini Zimbabwe (ZBC) pia limeripoti kuwa mwenyekiti wa kitaifa wa Zanu PF Oppah Muchinguri-Kashiri, na Afisa mkuu wa kisiasa Engelbert Rugeje pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa ZBC walijeruhiwa

Kufuatia tukio hilo Mnangagwa amesema kuwa jaribio hilo lilipangwa na watu wenye nia mbaya juu yake ila siku zake hazikutimia.

“Nawapa pole watu wote waliojeruhiwa jioni ya leo (Jana jioni) hii ilikuwa ni mipango ya watu wenye lengo baya juu yangu  na serikali mpya ya Zimbabwe, nadhani wakati wangu haujafika kwani mlipuko ulitokea karibu sana na mimi,“amesema Mnangagwa kupitia shirika la habari la Afrika Kusini (SABC).

Hata hivyo, tukio hilo pia limemgusa rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ambaye amesema kuwa tofauti za kisiasa nchini humo zisilete uhasama bali ziimarishe demokrasia nchini humo.

Vyama vya upinzani na chama tawala cha Zanu-PF vipo kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu wa urais na wabunge unaotarajiwa kufanyika tarehe 30 mwezi Julai. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...